ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Daily news hiyo baba ya leo ,si angeandika tu "Calf" mbona ingeeleweka.Hahaha who did this?Is She/He still in office?This is the shame for editors.
Ndo mambo yetu yaleee; Kiswahili kitumike kufundishia chuo kikuu. Hayo ndo makinikia yenyewe. Win win situation maana yake ni kuwa. Tz tume wini wini na mzungu kasema yupo tiyari kutulipa si nusu bali zile ngawira zoote tulizoandika kuwa katuibia. Son of Cow!!!! God forbid!
Umenena mkuu,mambo mengi ya serikali ni ya ajabu ajabu kweli...uwezo wa watendaji wengi ni mdogo sana nadhani ni kutokana na kuingia katika mfumo kwa kupitia migongo ya watu na si uwezo..Hivi kwa nini vitu vya serikali ya Tz huwa vya hovyohovyo?Tbc tv na radio hovyoo,timu ya mpira ya serikali iitwayo taifa stars nayo hovyoo kabisaa na hili gazeti nalo.pumbavu,yani huyu chief editor ni hovyo kabisa au katuona sisi mabashite?eti alitaka kumaanisha ndama mutoto ya ng'ombe,mnatuchoresha bana ndo maana wengine jana ikulu wakatoa press release tofauti na walichoongea wazungu wa watu.
View attachment 524621
Sio calf ni son of a cowDaily news hiyo baba ya leo ,si angeandika tu "Calf" mbona ingeeleweka.
kakosea;umekuja na porojo badala ya kujib na wwHivi kwa nini vitu vya serikali ya Tz huwa vya hovyohovyo?Tbc tv na radio hovyoo,timu ya mpira ya serikali iitwayo taifa stars nayo hovyoo kabisaa na hili gazeti nalo.pumbavu,yani huyu chief editor ni hovyo kabisa au katuona sisi mabashite?eti alitaka kumaanisha ndama mutoto ya ng'ombe,mnatuchoresha bana ndo maana wengine jana ikulu wakatoa press release tofauti na walichoongea wazungu wa watu.
View attachment 524621
Calf ni ndama lakini isingeleta maana ya mtoto wa ng'ombeDaily news hiyo baba ya leo ,si angeandika tu "Calf" mbona ingeeleweka.
Son of cow
Bracketshawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in blackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana