kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,342
- 12,066
Wanatia aibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in blackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana[emoji23] [emoji23]