kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Wanatia aibuhawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in blackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana
Wanatia aibuhawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in blackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana
Elimu elimu elimu,Hivi kwa nini vitu vya serikali ya Tz huwa vya hovyohovyo?Tbc tv na radio hovyoo,timu ya mpira ya serikali iitwayo taifa stars nayo hovyoo kabisaa na hili gazeti nalo.pumbavu,yani huyu chief editor ni hovyo kabisa au katuona sisi mabashite?eti alitaka kumaanisha ndama mutoto ya ng'ombe,mnatuchoresha bana ndo maana wengine jana ikulu wakatoa press release tofauti na walichoongea wazungu wa watu.
View attachment 524621
Hahahaaaaaaahawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in brackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana
Loh! Najutaa nshabadili jaman hamna dogo, woiiiiiHahahaaaaaaa
Blackets?? What is that?
Kwikwikwi
KWELI TUNA SHIDA NGUMBARU INAHITAJIKAKwa maoni yangu mwandishi hajakose tunakosea wasomaji kwa kujifanya wajuaji Sana, huyu kaandika kifasihi na kuvuta tension ya wasomaji, hadi hapo ameshafanikiwa, kwani inazungumzwa mno, kwa wataalamu wa makinikia ya marketing wanajua hili, ndo mana kwa kuonesha amedhamiria ameamua kuweka funga na fungus semi, sema tu kwa kuwa gazeti lenyewe ni la makinikia ndo basi kila MTU ameamua kuonesha hasira zake hapo, kwa Leo tu mi namtetea huyu mwandishi
Tunasafari ndefuu ya kufikia malengo trust me mkuuhawajui kuwa jina huwa halibadilishwi, wangeandika jina lake in brackets wakaandika hiyo ndama mtoto wa ng'ombe, au a.k.a......., nimecheka sana
Ni sahihi kabisa kwa sababu ameweka katika alama za kufunga na kufungua semi (quotes). Hizo zinaashiria kuwa neno hilo limepewa special meaning kwa hapo tu au kwa leo tu na si dalili ya umbumbumbu mkuu.Hivi kwa nini vitu vya serikali ya Tz huwa vya hovyohovyo?Tbc tv na radio hovyoo,timu ya mpira ya serikali iitwayo taifa stars nayo hovyoo kabisaa na hili gazeti nalo.pumbavu,yani huyu chief editor ni hovyo kabisa au katuona sisi mabashite?eti alitaka kumaanisha ndama mutoto ya ng'ombe,mnatuchoresha bana ndo maana wengine jana ikulu wakatoa press release tofauti na walichoongea wazungu wa watu.
View attachment 524621
Kwa maoni yangu mwandishi hajakose tunakosea wasomaji kwa kujifanya wajuaji Sana, huyu kaandika kifasihi na kuvuta tension ya wasomaji, hadi hapo ameshafanikiwa, kwani inazungumzwa mno, kwa wataalamu wa makinikia ya marketing wanajua hili, ndo mana kwa kuonesha amedhamiria ameamua kuweka funga na fungus semi, sema tu kwa kuwa gazeti lenyewe ni la makinikia ndo basi kila MTU ameamua kuonesha hasira zake hapo, kwa Leo tu mi namtetea huyu mwandishi
Mkuu, ile hela aliyolipa ni kama nauli ya shilingi 400, tuulize tunaomjua.Ndama mutoto ya ng'ombe....Jamaa noma kashalipa zake yuko mtaa
Haaa..kweli mkuu??Mkuu, ile hela aliyolipa ni kama nauli ya shilingi 400, tuulize tunaomjua.
Daily news hiyo baba ya leo ,si angeandika tu "Calf" mbona ingeeleweka.