johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Binafsi nimeridhishwa sana na utendaji wa Spika Ndugai katika mkutano wa bunge unaofungwa leo.
Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.
Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai ameweza kuikosoa serikali katika baadhi ya mambo yakiwemo ajira kwa vijana, riba kubwa kwenye mikopo ya elimu ya juu, SUA kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kufundisha walimu wa sekondari na hata kuwakemea " kimtindo" wabunge wanaopiga makofi kama walevi bungeni.
Pamoja na kwamba bunge hili halina KUB japo wabunge wa upinzani wamo kiukweli Ndugai ameziba pengo la KUB.
Maendeleo hayana vyama!