Naamini wanaume wanapenda mke anayejiheshimu ktk hali yote,sasa wewe mtu humfahamu umejilainisha kulala nae mtu hata humjui,je kama ni jini?
Ndo haya mambo baadae unalalamika maisha hayaendi,siolewi kumbe kuna sehemu uliloga mwenyewe.
Huyo kaka hana muda nawe wala kuwaza kuwa utakuwa mke,kwakuwa ukisafiri unaweza fanya mistake hiyo.
Ukiendelea nae mtaishia kuwa friends with benefits yani rafiki wa kufaana haja za kimwili.tafakari..
Ndo haya mambo baadae unalalamika maisha hayaendi,siolewi kumbe kuna sehemu uliloga mwenyewe.
Huyo kaka hana muda nawe wala kuwaza kuwa utakuwa mke,kwakuwa ukisafiri unaweza fanya mistake hiyo.
Ukiendelea nae mtaishia kuwa friends with benefits yani rafiki wa kufaana haja za kimwili.tafakari..
yaani cku 1 tu kala mzigo 