Ni kama story ila ndo ukweli

Ni kama story ila ndo ukweli

Back to seriousness!

Kwanza hongera kua jasiri wa kusex siku ya kwanza tu ya kukutana, wewe ni jasiri sanaaa sio mchezo.

Pili hakuna mtu anayeweza kukulaumu kwa hilo na kukupa nafasi ya umalaya atakua mwehu tu. Wengi wetu sisi waafrika chaji ziko juu kidogo, jino moja tu kitu kimewaka.

Tatu fuata moyo wako,mpe muda Na distance uone kama ataendaje. Wwngine walikutana baa bwana

Mwisho, kwa mwanadamu moja baya hufuta yoote mazuri ila kwa Mungu moja zuri hufuta mabaya yoote. Katubuni hiyo dhambi msamehewe ndipo muendelee
 
Wengine ndo tunapendaga mipira iliyokufa kama hii huwa ni makosa sana kuiacha....kunachama chetu kabisa cha "wazee wa loose ball" yani hapa hatutumii nguvu kubwa kabisa. Kidogo tuuu
 
I disagree with you. Kukutana na mtu na kufanya siku ya kwanza, au kufanya mwaka baada ya kukutana hakubadili kitu. Mimi nilikutana na mtu wangu siku ya kwanza na tukajikuta tumeshaburuzana..... And still tupo pamoja so strong.
Any way, nakiri kuwa hakuna formula ila mara nyingi wengi wanachukulia hivyo nikiwemo mimi mwenyewe, kwa hiyo km ww ulibahatisha wa namna hiyo basi sawa isiwe kesi.
 
Kweli kabisa mkuu that is too cheap just an accident mh hii mihemko itatumaliza kabisa jamani tuwe na uwoga kidogo na mambo haya na then unataka kumfanya mpenzi kweli?amesafiri mara ngapi kacheza huo mchezo na je ataacha ata ukiwa mkewe no one knows.Lakini sababu wote mnaonyesha mna tabia moja mnaweza kumatch na kuvumiliana.Lakini mpz jaribu kujithamini na self control be stricktly bana dah!!!!Kweli ndo mana ndoa zetu majanga.
Mkuu nashukuru ya kuwa umeunga mkono hoja yangu ya msingi na hatimaye ukaiboresha vyema, natumai mhusika ameelewa.
 
one night stand should never count

atakua na ulimbukeni na nyapu uyo ase
 
Back
Top Bottom