benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
Kwa kweli nashindwa nimuelezeaje.
Ni maji ya kunde sio mrefu wala mfupi yuko kati hivi.
Nilikutana naye kwenye kivuko cha kigamboni jana.
Binti habari yako? Nzuri kaka, nikamuuliza kama mwenyeji Kigamboni, alinijibu sio sana maana ndio ameamia juzi juzi hostel.
Akaniuliza kwani nataka kwenda wapi? Nilimjibu kama anajua beach nzuri ya kupumzika,(Off course nilikua najua naenda wapi ilikua ni zuga tu). Basi akasema yeye pia anaelekea lakini anaenda kwanza hostel kubadili nguo ndio aende Mikadi.
Nikaungana nae. Kameumbika wajameni, nilikula maisha mchana kutwa na giza lilipoanza kuingia tayari alishakua na dompo moja kichwani, mimi nina Safari za kutosha.
Tulikua tumekaa ndani ya kibanda. Hahahaha, kereuuuuwiii ni balaa ,men,the girl can ride. Kwa kweli nililala huko,nimevuka saa tatu leo. Yaani siwezi fanya kazi vile yule girl alivyonifanya namuwaza yeye tu. Lazima nikarudie.
Na Itabidi nitafute nyumba kabisa nihamie huko. Muniwache.
Ni maji ya kunde sio mrefu wala mfupi yuko kati hivi.
Nilikutana naye kwenye kivuko cha kigamboni jana.
Binti habari yako? Nzuri kaka, nikamuuliza kama mwenyeji Kigamboni, alinijibu sio sana maana ndio ameamia juzi juzi hostel.
Akaniuliza kwani nataka kwenda wapi? Nilimjibu kama anajua beach nzuri ya kupumzika,(Off course nilikua najua naenda wapi ilikua ni zuga tu). Basi akasema yeye pia anaelekea lakini anaenda kwanza hostel kubadili nguo ndio aende Mikadi.
Nikaungana nae. Kameumbika wajameni, nilikula maisha mchana kutwa na giza lilipoanza kuingia tayari alishakua na dompo moja kichwani, mimi nina Safari za kutosha.
Tulikua tumekaa ndani ya kibanda. Hahahaha, kereuuuuwiii ni balaa ,men,the girl can ride. Kwa kweli nililala huko,nimevuka saa tatu leo. Yaani siwezi fanya kazi vile yule girl alivyonifanya namuwaza yeye tu. Lazima nikarudie.
Na Itabidi nitafute nyumba kabisa nihamie huko. Muniwache.