Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

Nina kesi kama hiyo, ila mzazi mwenzangu ndo alikataa nisitoe matumizi ya mtoto.
Niliipenda sana familia yangu, tulikuwa tunapendana sana na kipenzi changu kwa jina M. Shida ilianza pale ambapo aalipata kazi na meneja wake akaanza kuwa na mahusiano naye, kiukweli niliumia sana kwani magomvi yalikuwa hayaishi ndani ya nyumba. Nilimlilia sana mke wangu kipenzi kwa kumpigiaa mpaka magoti lakini akawa haoni hasikii kwani fedha na tamaa ya mwili vilimjaa hasa ukizingatia huu uanduje wangu ndio kabisaaa akazama mazima.

Mwaka 2020 mambo yakawa magumu sana ikabidi nitafute uhamisho nihamie mkoa fulani, wakati huo yeye amehamia kabisa kwa jamaa, jamaa aalikuwa na mke wake ila alihakikisha anampangia huyu mama watoto wangu na nikapigwa marufuku kabisa ya kukanyaga pale.
Nilimfuata huyo jamaa nikamwambia aachane na mke wangu , alinihakikishia katu kuwa hatoki naye na akaapa atakuwa mbali naye.Meneja akaanza kumpa mke wake visafari vya mara kwa mara ili ale maisha penzi la mtoto wa Kimwera. Nikaona isiwe taabu nikapata uhisho nikaenda kuripoti kituo changu kipya then nikarudi.
Nilimtaka mzazi mwenzangu tuongee namna gani tutamlea mwanetu ila hakutaka kabisa kukutana na mimi na akanambia niende tuu kwanza mimi masikini sina hela ya kumtunza huyo mtoto.
Niliumia sana kwa majibu alotoa, nikampigia mama mkwe nikamweleza akanambia labda ni hasira tuu. Kwa kweli nilipoondoja sikuangalia tena nyuma.
Mwakaa juzi nikasikia anataka kumbadilisha mtoto jina ampe huyo malaya mwenzake, nikamtumia meseji moja tuu, akaanza kuwaka na matusi mengi mengi. Mwezi wa 12 nikaenda kwao niangalie uwezekano wa kumchukua mwanangu na hapa najiandaa kwenda kumchukua mazima.

Akina mama mnakuwaga na jeuri sana kiukweli niliumizwa inafikia hatua mwenzi wangu anachinja mbuzi kwamba nimehama! Nilienda ustawi wa jamii mwenyewe akaitwa akakataa kufika na vielelezo ninavyo. Nia ya kwenda ustawi ni kutaka mchango wangu wa malezi nitakaotoa uwe kimaandishi maana wanawake wanalisha sana watoto sumu, rejea mama Dangote. Sijatoa matumizi tangu mwaka 2020.na sina mpango wa kutoa hata mia.
 
Kama unajiweza lea mtoto wako mwenyewe usihangaike na hao ng'ombe wanaotelekeza watoto wao. Kwanza kupelekana mahakamani kudai matunzo sio vizuri.

Wewe lea kutokana na kipato chako kama ni shule mpeleke ambayo una uwezo wa kulipa ada. Usimlazimishe kutunza damu yake kama haoni umuhimu hata kama mimba alikupa yeye.

Kumbuka always mtoto ni wa mama so pambana kwa ajili yake. Lea mwanao acha kuhangaishana na baba yake watakutana na kutafutana ukubwani huko. No kubembeleza kabisa.
Unatumia kinywaji gani Mkuu,nakuja kulipa. Wewe umepevuka haswa
 
Kwani anazaa peke yake si walishirikiana basi na kulea walee wote
Kwa hii msg yako inaonyesha kabisa ulibeba Mimba kama kitega uchumi na siyo kwa ajili ya kupata mtoto. My dear malipo mengine siyo mpaka ufe unalipwa hapa hapa duniani. Hauonyeshi kama una shida kweli ila una uchu wa kupata kidogo. Niamini mimi baba wa mtoto huko alipo anasubiri mtoto agike miaka saba amchukue amhudumie na hajamtelekeza mtoto ila ni kwa tabia zako ndo zimefanya auchune.
 
Huu kwangu naita ni ujinga na ubinafsi

Watu wakiachana ndo baba akatae kuwa responsible?

Huu upuuzi wa wanaume kulelewa na serikali ndo umefanya watu hawaogopi kuzaa na kutelekeza maanake wanajua hawafanywi kitu,

Ustawi wa jamii wanakwambia mtoto ni wa mama kama mimba anajipa mwenyewe.

Tunatengeneza kizazi cha hovyo cha Watoto wa single mother’s wasiokua na malezi ya wazazi wote

Mwisho wa siku tunakua na jamii ya hovyo hovyo
Pole sana single maza. Tafuta hela.
 
Ni either ulizaa na mume wa mtu au ulikuwa kicheche wakati unadate na jamaa. Sio rahis mwanaume kukataa mtoto kama hakuna chochote kinachokupa mashaka

Hivi mkuu kwanini mko hivi kwanini mnashindwa kumuogopa Mungu kwani huyo mtoto ameamua kujizaaa tuwe accountable kwa matendo yetu wenyewe hata kama ni magumu au mepesi nyie wanaume ndo wenye story kibao za kusema baba kawatelekeza.
 
Hivi mkuu kwanini mko hivi kwanini mnashindwa kumuogopa Mungu kwani huyo mtoto ameamua kujizaaa tuwe accountable kwa matendo yetu wenyewe hata kama ni magumu au mepesi nyie wanaume ndo wenye story kibao za kusema baba kawatelekeza.
Swala kubwa hapa ni mwanaume kama ana uhakika mtoto ni wake au vipi. Ni ngumu kuhudumia mtoto ambaye sio wako
 
Pole Mkuu , ndoa Ni utapeli kataa ndoa
Nina kesi kama hiyo, ila mzazi mwenzangu ndo alikataa nisitoe matumizi ya mtoto.
Niliipenda sana familia yangu, tulikuwa tunapendana sana na kipenzi changu kwa jina M. Shida ilianza pale ambapo aalipata kazi na meneja wake akaanza kuwa na mahusiano naye, kiukweli niliumia sana kwani magomvi yalikuwa hayaishi ndani ya nyumba. Nilimlilia sana mke wangu kipenzi kwa kumpigiaa mpaka magoti lakini akawa haoni hasikii kwani fedha na tamaa ya mwili vilimjaa hasa ukizingatia huu uanduje wangu ndio kabisaaa akazama mazima.

Mwaka 2020 mambo yakawa magumu sana ikabidi nitafute uhamisho nihamie mkoa fulani, wakati huo yeye amehamia kabisa kwa jamaa, jamaa aalikuwa na mke wake ila alihakikisha anampangia huyu mama watoto wangu na nikapigwa marufuku kabisa ya kukanyaga pale.
Nilimfuata huyo jamaa nikamwambia aachane na mke wangu , alinihakikishia katu kuwa hatoki naye na akaapa atakuwa mbali naye.Meneja akaanza kumpa mke wake visafari vya mara kwa mara ili ale maisha penzi la mtoto wa Kimwera. Nikaona isiwe taabu nikapata uhisho nikaenda kuripoti kituo changu kipya then nikarudi.
Nilimtaka mzazi mwenzangu tuongee namna gani tutamlea mwanetu ila hakutaka kabisa kukutana na mimi na akanambia niende tuu kwanza mimi masikini sina hela ya kumtunza huyo mtoto.
Niliumia sana kwa majibu alotoa, nikampigia mama mkwe nikamweleza akanambia labda ni hasira tuu. Kwa kweli nilipoondoja sikuangalia tena nyuma.
Mwakaa juzi nikasikia anataka kumbadilisha mtoto jina ampe huyo malaya mwenzake, nikamtumia meseji moja tuu, akaanza kuwaka na matusi mengi mengi. Mwezi wa 12 nikaenda kwao niangalie uwezekano wa kumchukua mwanangu na hapa najiandaa kwenda kumchukua mazima.

Akina mama mnakuwaga na jeuri sana kiukweli niliumizwa inafikia hatua mwenzi wangu anachinja mbuzi kwamba nimehama! Nilienda ustawi wa jamii mwenyewe akaitwa akakataa kufika na vielelezo ninavyo. Nia ya kwenda ustawi ni kutaka mchango wangu wa malezi nitakaotoa uwe kimaandishi maana wanawake wanalisha sana watoto sumu, rejea mama Dangote. Sijatoa matumizi tangu mwaka 2020.na sina mpango wa kutoa hata mia.
 
Nina kesi kama hiyo, ila mzazi mwenzangu ndo alikataa nisitoe matumizi ya mtoto.
Niliipenda sana familia yangu, tulikuwa tunapendana sana na kipenzi changu kwa jina M. Shida ilianza pale ambapo aalipata kazi na meneja wake akaanza kuwa na mahusiano naye, kiukweli niliumia sana kwani magomvi yalikuwa hayaishi ndani ya nyumba. Nilimlilia sana mke wangu kipenzi kwa kumpigiaa mpaka magoti lakini akawa haoni hasikii kwani fedha na tamaa ya mwili vilimjaa hasa ukizingatia huu uanduje wangu ndio kabisaaa akazama mazima.

Mwaka 2020 mambo yakawa magumu sana ikabidi nitafute uhamisho nihamie mkoa fulani, wakati huo yeye amehamia kabisa kwa jamaa, jamaa aalikuwa na mke wake ila alihakikisha anampangia huyu mama watoto wangu na nikapigwa marufuku kabisa ya kukanyaga pale.
Nilimfuata huyo jamaa nikamwambia aachane na mke wangu , alinihakikishia katu kuwa hatoki naye na akaapa atakuwa mbali naye.Meneja akaanza kumpa mke wake visafari vya mara kwa mara ili ale maisha penzi la mtoto wa Kimwera. Nikaona isiwe taabu nikapata uhisho nikaenda kuripoti kituo changu kipya then nikarudi.
Nilimtaka mzazi mwenzangu tuongee namna gani tutamlea mwanetu ila hakutaka kabisa kukutana na mimi na akanambia niende tuu kwanza mimi masikini sina hela ya kumtunza huyo mtoto.
Niliumia sana kwa majibu alotoa, nikampigia mama mkwe nikamweleza akanambia labda ni hasira tuu. Kwa kweli nilipoondoja sikuangalia tena nyuma.
Mwakaa juzi nikasikia anataka kumbadilisha mtoto jina ampe huyo malaya mwenzake, nikamtumia meseji moja tuu, akaanza kuwaka na matusi mengi mengi. Mwezi wa 12 nikaenda kwao niangalie uwezekano wa kumchukua mwanangu na hapa najiandaa kwenda kumchukua mazima.

Akina mama mnakuwaga na jeuri sana kiukweli niliumizwa inafikia hatua mwenzi wangu anachinja mbuzi kwamba nimehama! Nilienda ustawi wa jamii mwenyewe akaitwa akakataa kufika na vielelezo ninavyo. Nia ya kwenda ustawi ni kutaka mchango wangu wa malezi nitakaotoa uwe kimaandishi maana wanawake wanalisha sana watoto sumu, rejea mama Dangote. Sijatoa matumizi tangu mwaka 2020.na sina mpango wa kutoa hata mia.
Duh
Pole
 
Baba yako na mama yako walikuzaa na hawaishi pamoja...kwa mujibu wa maelezo yako.
Hao wenye uti sugu ndio waliotuzaa na kutukuza.
Nyuma ya keyboard watu wanajitoa ufahamu sana. Wanapenda sana kutukana wanawake na kuwaita malaya bila hata kosa. Unakuta mtu amekuzwa na single mother ila jf anawatukana single maza malaya kasahau mama yake pia.

Kuna uzi wangu mmoja mtu alinitukana malaya, eti single maza malaya na mabinti wanaolelewa na single maza ni malaya pia. Kama utani nikamjibu unaweza kuta umelelewa na single maza pia.

Kupitia nyuzi zake ni kweli amelelewa na single maza halafu mbaya zaidi hamjui hata baba yake. Wanaume mnakwama sana kwenye kipengere cha kumheshimu mwanamke.
 
Unatumia kinywaji gani Mkuu,nakuja kulipa. Wewe umepevuka haswa
Ifike kipindi tusilazimishe haya matunzo, bora kulea kwa kipato chako kuliko kuhangaika mahakamani ukalea mwanao kwa hela za kulazimisha.

Ndio maana wanatusema kwamba tunazaa watoto kama kitega uchumi. Mwanaume akiona umuhimu wa kuhudumua damu yake atahudumia willingly sio mpaka sheria.
Hakuna kitu kizuri kama co-parenting isiyo na makandokando.
 
DNA imeprove kuwa ni mtoto wake?

Hamuelewekagi nyie.
Mtu hawezi kuzila hivi hivi tu, kuna namna

Au anaishije na mwenzake, isije ikawa kama ya Faiza na Sugu.
- na kama huyo mwanaume anapinga mtoto sio Wake, itatolewa amri na Court ya kwenda kupima DNA,na Kama majibu yakionesha ni Wake, tafsiri yake ni kwamba mtoto anakuwa na haki zote kutoka kwa baba yake eg Matunzo nk
 
Ifike kipindi tusilazimishe haya matunzo, bora kulea kwa kipato chako kuliko kuhangaika mahakamani ukalea mwanao kwa hela za kulazimisha.

Ndio maana wanatusema kwamba tunazaa watoto kama kitega uchumi. Mwanaume akiona umuhimu wa kuhudumua damu yake atahudumia willingly sio mpaka sheria.
Hakuna kitu kizuri kama co-parenting isiyo na makandokando.
-kutoa matunzo kwa mtoto wako ni Lazima sio hiyari unless uwe unaumwa ugonjwa ambao unakufanya ushindwe kutafuta hela au una matatizo ya akili ambayo yameathiri utafutaji wa kipato,
 
Huu kwangu naita ni ujinga na ubinafsi

Watu wakiachana ndo baba akatae kuwa responsible?

Huu upuuzi wa wanaume kulelewa na serikali ndo umefanya watu hawaogopi kuzaa na kutelekeza maanake wanajua hawafanywi kitu,

Ustawi wa jamii wanakwambia mtoto ni wa mama kama mimba anajipa mwenyewe.

Tunatengeneza kizazi cha hovyo cha Watoto wa single mother’s wasiokua na malezi ya wazazi wote

Mwisho wa siku tunakua na jamii ya hovyo hovyo
- Kwa mujibu wa Tamko la Kimila, i.e Local Customery law declaration order, limesema hivi kama Mwanamke alizalishwa na mwanaume na mwanaume huyo hajalipa mahari, gharama za Matunzo ya mtoto huyo, na hajamuoa basi huyo mtoto anachukua ukoo na Mama yake.
 
huu uzi ni wa
1. masingle mama...
2.wanawake wenye viranga wanaotaka kuzaa na waume za watu
3.wanawake wenye kuzaa na wanaume ili apate avueni ya maisha
- by whatever situation lazima mwanaume uwajibike Kwa sabb huyo ni mtoto wako, Kama ulikuwa hutaki kuzaa ungetulia na mke wako ndani,
-Hoja ya msingi hapa Kwa mwanaume labda ni kupinga kuwa huyo mtoto sio wako, na kama ukipinga mtaenda kwenye DNA test
 
Back
Top Bottom