Ilivumishwa nimemlamba mwl wangu!
Na haikua kweli, na nishawahi kuleta Thrade hapa ya mkasa huo.
Nilisingiziwa nimelamba mke wa obama daa iliniuma sana!!
Note:Obama jirani yangu huku lyamba lyamfipa.
Nilisingiziwa nimelamba mke wa obama daa iliniuma sana!!
Note:Obama jirani yangu huku lyamba lyamfipa.
Nilianza kukuogopa KING KONG 3
Jambo la kufedhehesha sio lazima liwe za kusingiziwa. Mengine inakuwa ni kweli ulifanya ama kushiriki, na hauko proud kuwa ulifanya. Muhimu ni kujifunza kutokana na makosa. Kama ulisingiziwa, ni mazingira gani yaliyopelekea? Kama ni kweli, unafanya nini kuhakikisha hakuna mazingira ya kurudia kosa?
siku niliyoshindwa kuvunja biskuti iliyoloweshwa dah!...halafu mtaani ndio nilikua mtemi napiga kila mtu