jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,752
- 16,368
ushem kwishney how? usinigombanishe shem wangu taratibu ada za watoto bado hazijalipwaKoh hadi ndoa zimevunjika hiki kipindi nilichopotea? Ushem kwishney
ushem kwishney how? usinigombanishe shem wangu taratibu ada za watoto bado hazijalipwaKoh hadi ndoa zimevunjika hiki kipindi nilichopotea? Ushem kwishney
Hahaha.....usnichekesheushem kwishney how? usinigombanishe shem wangu taratibu ada za watoto bado hazijalipwa
nakuchekesha wakati hapa nina hasira na wewe.Hahaha.....usnichekeshe
Siunajua mgeni hakosi kamba mguuni....nisamehe shemelanakuchekesha wakati hapa nina hasira na wewe.
nitafanya investigation ya hayo maneno yako
Noted and grantedSiunajua mgeni hakosi kamba mguuni....nisamehe shemela
toka hapa
Hata mimi nimeshangaa sana aisee!..Jamaa aliniambia aliipigia kura CCM 2o1o
AiseeeeeKuna mshikaji tulikuwa tunasoma nae chuo mahali, alikuwa mpole sana, very smart, muelewa na mwenye msimamo sana! Siku moja ikiwa birthday yake tulienda club moja kuenjoy kidogo. Alikuwa mnywaji kiasi ila siku hyo nahisi alikunywa vitu vilimkataa aiseee, akaja nifuata nilipokaa na bila aibu akaomba nikamrarue marinda chooninilimshangaa kama dakika tano nikidhani ni pombe ndo inaongea, urafiki ulikufa kuanzia cku ile!!!
Huna lolote, pita mbali