ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,431
- 2,804
Wakuu,
Ni Japi yupi ambaye hukumu zake unapenda sana kuzisoma?
Haijalishi,awe ni Jaji wa Mahakama Kuu ya Rufaa!
Mie binafsi nazikubali hukumu za Samata J,.!
Ana good command of English language na huwa sikosi lakujifunza kwake!
Na mwisho nazikubali za Jaji Lubuva pia!
Wewe je?
Ni Japi yupi ambaye hukumu zake unapenda sana kuzisoma?
Haijalishi,awe ni Jaji wa Mahakama Kuu ya Rufaa!
Mie binafsi nazikubali hukumu za Samata J,.!
Ana good command of English language na huwa sikosi lakujifunza kwake!
Na mwisho nazikubali za Jaji Lubuva pia!
Wewe je?