Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Nina hukumu yake moja ya kesi ya forgery daaah kamchanachana handwritting expert mpaka prosecution wakajiona wajingaUmeona eeh
Nina hukumu yake moja ya kesi ya forgery daaah kamchanachana handwritting expert mpaka prosecution wakajiona wajingaUmeona eeh
Hahaaa. Ni kweli. anapangilia kiingereza chake vizuri hadi unavutiwa kuendelea kusoma hukumu yake. Amekaa sana pale Commercial Division kabla ya kuwa promoted kwenda mahakama ya rufaa. Kule aliamua kustaafu kwa hiari kabla ya mda wake kufika baada ya kuona junior judge kapewa ujaji mkuu na kuwaacha wakongwe wakitazamana tu. Almanusra majaji wote wa rufaa waachie ngazi, bahati nzuri diplomasia ilifanya kazi yake, majaji wengine wakakubali kubaki, Dr. Bwana akakimbilia mahakama ya kimataifa, jamaa kalegeya kaamua kustaafu kwa hiari. Hatakagi mambo ya mchezomchezo.Kalegeya ana ngeli ya kutishaaaaaa
Hv kwa nini mzee chenge hajapata ujaji mpk leo? ?Living Legend Chenge ata upambe hukumu kwa viterminology vya kilatino yeye lazima akufanyie ubaya tu....Havard akwenda kutalii yule mwamba.....yule mwamba ndio anafaa kuitwa wakili msomi sio awa wengine mbwembwe nyingi hakuna kitu
Hv kwa nini mzee chenge hajapata ujaji mpk leo? ?