Dah, ngoja nimalize mchezo, unachokitaka ni against nature, mwanamke anahitaji mwanaume anayejiamini na anayeweza kuelezea anachokitaka, mwenye kujua direction ya mambo ya mahitaji yake ya kimaisha. Short cut ni kuonyesha unajiamini na kumualika na kuonyesha interest yako kiuwazi kabisa, be gentle na focused.Wana JamiiForums habari zenu, poleni kwa mihangaiko.
Rejea kichwa cha habari hapo juu, kwa wale mnao wajua wasichana kiundani zaidi ( mliobobea zaidi kwenye masuala ya mahusiani)
Naombeni trick za namna gan naweza date na demu mkali/mrembo pasipo kupoteza muda kumtongoza ila kwa mambo flani tu agundue kwamba huyu mtu anampenda?
...Focus kwenye masomo,hakikisha mtihani wako wa mock unapiga one nzuri alafu muombe muwe mnadiscuss pastpaper pamoja,huu ushauri utakua unaendana na umri wako..swine
SuicideMpe 1M akafanye shopping huku ukimuaidi harrier matako ya nyani.
Ntakudunda😀😀 love you too Algedo😂😂😂. Nashukuru huu ujumbe kumbe na ww umeupata. Ww ndo my main point. I love you.
Aisee.. mkuu.. kuna wanawake hatupendi kuambiwa haya maneno utanikeraaa. Si wote tunapenda hayo maneno sijui kyuti na nini huko. Cha kufanya ni kutengeneza bond na kuwa marafiki tu unijue hapo umewin kila kituManeno machache tu mkuu..
1..You are so cute mrembo.
2..you are so pretty..
3..mtoto umependeza sana ,,hata ukivaa gunia bado upo so cute..
Mwambiye maneno haya mara kwa Mara...
Halafu omba contact...
Ukipewa contact..... Asubuhi mtext morning mrembo?
Na mpesa/Tigo pesa isome 50 elfu ya soup..tuma kwenye simu yake..
Ask for an appointment...
Ukimkosa huyo kiumbe ,,wewe ni zaidi ya pimbi wa kwenye gazeti la sani..
Kwamba Jamaa ni dogo flan hivi wa Form II/Form IV, au siyo😀Focus kwenye masomo,hakikisha mtihani wako wa mock unapiga one nzuri alafu muombe muwe mnadiscuss pastpaper pamoja,huu ushauri utakua unaendana na umri wako..swine
Sasa mkuu unapenda kuitwaje kwa mfano?Aisee.. mkuu.. kuna wanawake hatupendi kuambiwa haya maneno utanikeraaa. Si wote tunapenda hayo maneno sijui kyuti na nini huko. Cha kufanya ni kutengeneza bond na kuwa marafiki tu unijue hapo umewin kila kitu
Mkuu, kuanza kuniambia sijui cute, beautiful yaan sipendiii... napenda urafiki sana sana sanaSasa mkuu unapenda kuitwaje kwa mfano?
Mfano upo mtaani na kidume kinataka kukutoke,,unapendelea akuitaje? Ili kuvuta hisia zako na kukufanya umsikilize ngonjera zake.
OK..mfano umekutana na mwanaume barabarani,,hamfahamiani.Mkuu, kuanza kuniambia sijui cute, beautiful yaan sipendiii... napenda urafiki sana sana sana
Daah ndugu yangu wewe unashida unamiaka mingapi kwani?OK..mfano umekutana na mwanaume barabarani,,hamfahamiani.
Anataka kukusimamisha,,,,unapenda akuite kwa jina gani kwa mfano.?
--Wewe Dada?
--Wewe sister?
--Au mrembo?
--Au wewe mama?.
--Au psii!! Psiii!!psii!!?
-- au oyaa,,oyaa?
Unapenda uitwe kwa jina gani ili uvutiwe na kumsikiliza mwanaume anayekusimamisha?
while(true) {
mpePesa();
}
Pesa si mapenzispend_on_her= True
not_spend_on_her= False
if spend_on_he:
print("She is yours")
print("your going to win her love")
elif not_spend_on_her:
print("She will never be yours")
print("Your going to loose this battle")
else:
print("Ndugu yangu hela ndio kila kitu")
print("Mpe pesa, mpe pesa, mpe pesa")