Nina wasiwasi na uanachama wako au upo chadema kwa mkopoSisi chadema sera yetu huwa tunasubiri tukio lolote ili tulidandie
Kwa sasa tupo na Mwandambo , nyuma tulikuwa na Hibil na nyuma tulikuwa na Tunatoka na nyuma tena tulikuwa na Tesha na nyuma Pole pole na nyuma Gwajima na nyuma Free Lissu na nyuma free mdude
Our political party is mediocre party .
Nasikia chama dola kwa kutumia mahakama waliifungia chadema kufanya siasa na viongozi wake hawatakiwi hata kiongea kwenye media, vipi, mmesha wafungulia kufanya siasa?Uchaguzi ushaisha na mambo yanaendelea je chadema kwa sasa wana sera gani ambayo hata leo mwenyekiti wao akitoka watatamba nayo kwenye mikutano ya hadhara?
Siasa siasani karibuni wanachadema mtujuze sisi ambao hatuna vyama
Chama ni vikao, na kwa sasa shughuli za cdm zimesitishwa kwa maagizo ya jishangazi linalokaa madarakani kwa vifo. Mwanzo jishangazi lilipata madaraka baada ya kifo cha Magufuli, na sasa limetangazwa rais baada ya mauaji ya halaiki.Sisi chadema sera yetu huwa tunasubiri tukio lolote ili tulidandie
Kwa sasa tupo na Mwandambo , nyuma tulikuwa na Hibil na nyuma tulikuwa na Tunatoka na nyuma tena tulikuwa na Tesha na nyuma Pole pole na nyuma Gwajima na nyuma Free Lissu na nyuma free mdude
Our political party is mediocre party .
Nasikia chama dola kwa kutumia mahakama waliifungia chasema kufanya siasa na viongozi wake hawatakiwi hata kiongea kwenye media, vipi, mmesha wafungulia kufanya siasa?
Sisi wadau tunauliza hayo yote yakishakwisha chama letu litakuja na sera gani tutambie majukwaani na kwenye vijiwe baada ya NRNE kutrend na hatimae kufika kikomoNasikia chama dola kwa kutumia mahakama waliifungia chasema kufanya siasa na viongozi wake hawatakiwi hata kiongea kwenye media, vipi, mmesha wafungulia kufanya siasa?
Niipi Sera ya CCM baada ya kuua raia bila hatia???Uchaguzi ushaisha na mambo yanaendelea je chadema kwa sasa wana sera gani ambayo hata leo mwenyekiti wao akitoka watatamba nayo kwenye mikutano ya hadhara?
Siasa siasani karibuni wanachadema mtujuze sisi ambao hatuna vyama
Na sisi chama kubwa na pendwa, tunailiza sababu ni nini ya kutufungia kufanya siasa.Sisi wadau tunauliza hayo yote yakishakwisha chama letu litakuja na sera gani tutambie majukwaani na kwenye vijiwe baada ya NRNE kutrend na hatimae kufika kikomo
Hatujadili na wauaji nyie.....stop extra judicial killings nguruwe weweTujadili mada iliyopo mezani
Hizi ni athari za moshi wa mwengeInaitwa chasema au chadomo?
Tazara mmeshauza, mwendokaasi mmeshauza kitambo. Ninasikitika kuona kijana anakuwa chawa wa chama ambacho kimeshindwa kuendeha hata hayo mambo madogoHiyo ndio sera yenu kwa sasa?
Chama chako kina sera gani? Tuanzie hapo kwanzaKwahiyo hata ikiruhusiwa leo itakuwa haina sera