Ni ipi hadhi ya malaya katika jamii?

papaayenga

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
765
501
Kwa hakika kama kuna tabia ya aibu na kuchukiza na kuporomsha heshma ya mtu ni tabia ya umalaya siku za awali mtu akiitwa malaya awe mwanamke au mwanamume alikua hanathamani mbele ya watu hata ushauri wake au maoni yake yalikuwa hayazingatiwi na hudhrauliwa kwa ushauri sababu ya tabia yake.

Takriban muundo huu wa maadili ya kuchukizwa na umalaya ulitapakaa sehemu zote ulimwenguni,ila taratibu umalaya ulianza kushika kasi pale wanawake walipo anza kutumia viungo vyao vya uzazi kama mtaji wa kujikimu kimaisha na hayo yalichochewa sana na wanaume malaya, hapo ndipo umalaya ukatufutiwa jina mbadala kimataifa. Kwa kua jina halisi malaya kwa lugha yeyote ile ulimwenguni huwa ni aibu na fedha kunasibishwa nalo.

Makundi hayo yakaanzisha muundo wa kukusanya malaya ulimwenguni chini ya nembo ya heshma ya Miss kwa tabia za umalaya, makundi haya ni mabaya sana ndio yanayo taarisha wacheza porono( picha za ngono)ndio yanayo fundisha mabinti wanao shiriki kutumia madawa ya kulevya.

Mimi siamini binti mdogo bila woga huzuni wala haya anaweza kupita uchi mbele ya kadamnasi ya watu, akiwa na akili yake timamu la hasha.ila kama bint huyo ataharibu akili yake kwa bange au herion n.k jambo hilo ni rahisi sana kupita mbele ya watu uchi, napia siamini kama mwanamke au mwanamume ambaye si malaya anaweza akatoa gharama ya kiingilio hata ikiwa ni sh.1000. eti kwenda kutizama malaya anvyopita uchi mbele ya watu naye akaburudika isipo kuwa naye ni malaya.

Kwanini nasema U-miss ni mazoezi ya kuja kuwa mcheza picha za ngono
(a) zoezi zima na onyesho zima ni half porono.(nusu ngono)
(b) wengi wa washiriki wake na kupata ushindi wa kuchaguliwa kuwa malaya wa kwanza baada ya hapo maisha yake huwa ni majanga na ushupavu wa uzinzi kupamba magazeti ya udaku kwa visa vya ngono na picha za uchi.
Kwa bahati mbaya hata serikali zinazo tawaliwa na wengi wapenzi wa ngono zimeingia katika mtego huu wa U miss.

Na pia kwa bahati mbaya hawa malaya wa Umiss eti nawo huwa ni watu mashuhuri nchini kiasi kuwa akifanya jambo linavuta hisia za watu nchini kama kwamba limefanywa na mtu mwenye heshma mbele ya watu. Huu ni MSIBAMi sintaona ajabu ex- miss na washirika wake kwa kujipa majina eti akina queen kukutwa na bange au madawa ya kulevya.
 
Kwa hakika kama kuna tabia ya aibu na kuchukiza na kuporomsha heshma ya mtu ni tabia ya umalaya siku za awali mtu akiitwa malaya awe mwanamke au mwanamume alikua hanathamani mbele ya watu hata ushauri wake au maoni yake yalikuwa hayazingatiwi na hudhrauliwa kwa ushauri sababu ya tabia yake.
Takriban muundo huu wa maadili ya kuchukizwa na umalaya ulitapakaa sehemu zote ulimwenguni,ila taratibu umalaya ulianza kushika kasi pale wanawake walipo anza kutumia viungo vyao vya uzazi kama mtaji wa kujikimu kimaisha na hayo yalichochewa sana na wanaume malaya, hapo ndipo umalaya ukatufutiwa jina mbadala kimataifa. Kwa kua jina halisi malaya kwa lugha yeyote ile ulimwenguni huwa ni aibu na fedha kunasibishwa nalo.
Makundi hayo yakaanzisha muundo wa kukusanya malaya ulimwenguni chini ya nembo ya heshma ya Miss kwa tabia za umalaya, makundi haya ni mabaya sana ndio yanayo taarisha wacheza porono( picha za ngono)ndio yanayo fundisha mabinti wanao shiriki kutumia madawa ya kulevya.
Mimi siamini binti mdogo bila woga huzuni wala haya anaweza kupita uchi mbele ya kadamnasi ya watu, akiwa na akili yake timamu la hasha.ila kama bint huyo ataharibu akili yake kwa bange au herion n.k jambo hilo ni rahisi sana kupita mbele ya watu uchi, napia siamini kama mwanamke au mwanamume ambaye si malaya anaweza akatoa gharama ya kiingilio hata ikiwa ni sh.1000. eti kwenda kutizama malaya anvyopita uchi mbele ya watu naye akaburudika isipo kuwa naye ni malaya.
Kwanini nasema U-miss ni mazoezi ya kuja kuwa mcheza picha za ngono
(a) zoezi zima na onyesho zima ni half porono.(nusu ngono)
(b) wengi wa washiriki wake na kupata ushindi wa kuchaguliwa kuwa malaya wa kwanza baada ya hapo maisha yake huwa ni majanga na ushupavu wa uzinzi kupamba magazeti ya udaku kwa visa vya ngono na picha za uchi.
Kwa bahati mbaya hata serikali zinazo tawaliwa na wengi wapenzi wa ngono zimeingia katika mtego huu wa U miss
Na pia kwa bahati mbaya hawa malaya wa Umiss eti nawo huwa ni watu mashuhuri nchini kiasi kuwa akifanya jambo linavuta hisia za watu nchini kama kwamba limefanywa na mtu mwenye heshma mbele ya watu
Huu ni MSIBA
Mi sintaona ajabu ex- miss na washirika wake kwa kujipa majina eti akina queen kukutwa na bange au madawa ya kulevya.
We ungeenda moja kwa kwenye point kuwa unamzunguzia nani na kwann unamchukia kiasi hicho,by the way sio kosa la msichana kuwa miss!
 
Mxiuuuuuuu!! Hebu kaa utulie, kama dadako alikuwa miss then akawa Malaya wa Ku.g.o.n.g.w.a na kila mtu nenda kamwambie yeye na sio kutuletea mitazamo yako hapa ya matatizo ya kisaiklojia. Eti Mamiss ni malaya! Ulishawahi kug.o.n.g.a hata mmoja?! Jipange upya nenda katibu kwanza stress ndo ufikirie upya na ujue kuwa malaya anaweza kuwa yeyote yule, wanaokaaga uchi na chupi huwaonagi?! Kina Kardashian kina Tunda na kina Giggy kwani nao waliwahi kuwa mamiss?!!! Nitajie hata miss Dunia mmoja ambae umewahi kuona porno aliyocheza, unamjua?!! Najua hujawahi kumwona hata mmoja, wapo mamiss dunia kama kina Priyanka, Aishwarya Aray na wengineo wanajiheshimu na mpaka wengine wana mme na familia, sasa we endelea kufikiria hivyohivyo, usitake kutuaminisha na sisi.
 
Mtoa post umeongea hoja muhimu Sana.

Sema umeharibu hapo mwisho japo hujamtaja moja kwa moja.

Maonyesho ya u-miss ni kuhamasisha watu kutembea uchi.
Lakini swala la umalaya ni jingine kwani mchana Malaya hutembea na nguo za heshima
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Hivi mtu akitembea uchi anakuathiri Vp wewe?!!Au huwaoni vichaa kila kona wakitembea uchi?!!

Tatizo tunataka kuimiliki jamii na kufanya tunachotaka sisi, kwa ufupi Hata mwanao sio miliki yako.

Respect free will Of others.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Wacha kudharau Malaya,wanatoa huduma muhimu na wateja wao wanalipa bila kinyongo
Umalaya ulikuwepo tangu enzi za Yesu

The oldest profession
 
We ungeenda moja kwa kwenye point kuwa unamzunguzia nani na kwann unamchukia kiasi hicho,by the way sio kosa la msichana kuwa miss!

Post hii ni reality juu ya tabia ya matendo nilio taja wala haikukaa kishabiki juu ya mtu fulani. Pia mtu huwa hachukiwi bali matendo ndio huchukiwa,
Kumchukia mtu ni maradhi yasiyo na dawa pia utakuwa ni binaadam wa ajabu.
kama utakuwa umehifadhi vizuri afya ya akili unaweza kunieleza uhusiano uliopo kati ya neno miss na umapepe wakupita uchi mbele za watu?
 
Mxiuuuuuuu!! Hebu kaa utulie, kama dadako alikuwa miss then akawa Malaya wa Ku.g.o.n.g.w.a na kila mtu nenda kamwambie yeye na sio kutuletea mitazamo yako hapa ya matatizo ya kisaiklojia. Eti Mamiss ni malaya! Ulishawahi kug.o.n.g.a hata mmoja?! Jipange upya nenda katibu kwanza stress ndo ufikirie upya na ujue kuwa malaya anaweza kuwa yeyote yule, wanaokaaga uchi na chupi huwaonagi?! Kina Kardashian kina Tunda na kina Giggy kwani nao waliwahi kuwa mamiss?!!! Nitajie hata miss Dunia mmoja ambae umewahi kuona porno aliyocheza, unamjua?!! Najua hujawahi kumwona hata mmoja, wapo mamiss dunia kama kina Priyanka, Aishwarya Aray na wengineo wanajiheshimu na mpaka wengine wana mme na familia, sasa we endelea kufikiria hivyohivyo, usitake kutuaminisha na sisi.

Wakati napost nilitarajia pia kupata mchango wa wenye matatizo ya afya ya AKILI kwani akina Giggy na hawo ulio wataja wanatofauti gani kimaadili na hawo ma Miss au ndio akina walewale chongo kuita kengeza
Post hii yahitaji mumayizi kuchangia wala si bwimbwi la mchele.
Wapo wenye muruwa vichwani wame√
 
Wakati napost nilitarajia pia kupata mchango wa wenye matatizo ya afya ya AKILI kwani akina Giggy na hawo ulio wataja wanatofauti gani kimaadili na hawo ma Miss au ndio akina walewale chongo kuita kengeza
Post hii yahitaji mumayizi kuchangia wala si bwimbwi la mchele.
Wapo wenye muruwa vichwani wame√
Huwezi kulazimisha nifikiri kama unavyofikiri, kuwaza tofauti na wewe haimaanishi I'm wrong, I'M RIGHT kutetea ninachokitetea, huwezi kunifananishia gigy na Miss Diana au Lilian Kamazima, unaandama mamiss unawaona uchi jukwaani tu at one night na kuacha kuwaandama wale unaowaona daily kwenye social media, kwa nini moja kwa moja ulenge mamiss ni nini kilichokuuma sana! ndo maana nakwambiaje unamsongo wa mawazo uliopelekea ku generalize 1 na kuifanya kama1000
 
Mkuu unaweza ukawa siyo Malaya lakini Ni mchawi mpaka watu wanakuogopa sasa hapo na Malaya tofauti yenu nini?
 
Tusigombane kwa kauli ya mtoa mada.
Yeye katoa msimamo wake, nionavyo yeye ana"hate" umalaya.
Lakini tujiulize hivi kweli umalaya ni mbaya? Je tunauthibitisho gani kutetea kwa povu kwamba ma-miss wote siyo malaya?
Nijuavyo umalaya ni tabia binafsi ya mtu, ingawa kuna kazi zingine mtu akifanya huwa ni viashiria vya umalaya.
Tuje kwenye point. Je umalaya ni mbaya? Maana kumekuwa na tabia za watu za ubinafsi na umimi.
Unakuta katika kadamnasi, mtu analaani umalaya wakati huo huo yeye anafanya umalaya.
Unakuta mtu analaani picha za ngono, wakati yeye anaziangalia kwa kujifungia chumbani. Umalaya ungekuwa mbaya nadhani ungekuwa tayari ulishatungiwa sheria kandamizi kama ya kubaka, ama madawa ya kulevya.
Malaya akikamatwa huwa anatafutiwa kosa jingine la kumshitakia na si matendo yake kwa kuwa hakuna kosa kisheria kufanya unalaya na sisi sote ni malaya wa kimfumo.
Utakapomnyooshea mwenziyo kidole kuwa "yule ni malaya", jiangalie mkono wako unaoutumia kumnyooshea kidole na utaona dole gumba lako linakusuta, litakuwa linakuelekea mwenyewe , tena kwa upande ulipo moyo wako ambao ndiyo uzima wako na roho yako.
Wakumbuka hadithi za Yesu alivyomnusuru malaya aliyetaka kuuawa kwa kupigwa mawe? kwamba aliye msafi awe wa kwanza kurusha jiwe.
Lakini walipojitathimini kila mmoja aliweka jiwe chini na "kujikataa".
Suala la umalaya wa mtu si lakujadili kwa sababu halina mashiko wala madhara yoyote, ni la kwake.
 
Huwezi kulazimisha nifikiri kama unavyofikiri, kuwaza tofauti na wewe haimaanishi I'm wrong, I'M RIGHT kutetea ninachokitetea, huwezi kunifananishia gigy na Miss Diana au Lilian Kamazima, unaandama mamiss unawaona uchi jukwaani tu at one night na kuacha kuwaandama wale unaowaona daily kwenye social media, kwa nini moja kwa moja ulenge mamiss ni nini kilichokuuma sana! ndo maana nakwambiaje unamsongo wa mawazo uliopelekea ku generalize 1 na kuifanya kama1000
Bila shaka Kuna tatizo katika kiwango chako cha kuelewa, mimi sikulazimishi kuamini ninavyo elewa mimi, nawe pia huna hoja ya kunishawishi niamini unavyo elewa wewe, lakini twende kwenye hoja nimefarijika umekubali ktk post yako kua hao ma miss huonekana UCHI JUKWAANI usiku mmoja. Good that is a starting point of it my little nana brain, can't u see? If she dare do at once wait for daily is caming.
Nina elewa katka business ya umala wapo waliofikia kiwango cha arosto yahitajika methadone kwa kiwango kikubwa
Mimi sina msongo wa mawazo. I am free as morning sun shine wala siwaandami ma miss la hasha, hapo pia unatatizo la kuelewa, ninacho sema ni matendo MACHAFU YA UKAHABA chini ya kivuli Cha Miss,kama utasoma vizuri post yangu
Labda unaweza kunielewesha uhusiano uliopo kupita uchi jukwaani usiku mmoja kama ulivyo sema wewe na neno MISS,
Where does they relate ?
Natumain one day a thick blanket covered Nana brain will uncover.
lakushangaza pia unakataa viwango vya generalize measure oh!!! Nana brain uko dunia ipi ? mbona generalize measures inatumika sana nenda kwa watu wa viwangu hupimwa bidhaa Chache tu moja au mbili hivi na matokeo yake hupewa ubora bidhaa zote au kukosa ubora bidhaa zote, nenda kwenye minada ya wanyama hupimwa mnyama mmoja aliokuwa na kila sifa na bei yake huwa ndio bei ya mnadani hapo.hata lugha yetu adhimu ya kiswahili ina msemo SAMAKI MMOJA AKIOZA NDANI YA KAPO WOTE WAMEOZA
 
Tusigombane kwa kauli ya mtoa mada.
Yeye katoa msimamo wake, nionavyo yeye ana"hate" umalaya.
Lakini tujiulize hivi kweli umalaya ni mbaya? Je tunauthibitisho gani kutetea kwa povu kwamba ma-miss wote siyo malaya?
Nijuavyo umalaya ni tabia binafsi ya mtu, ingawa kuna kazi zingine mtu akifanya huwa ni viashiria vya umalaya.
Tuje kwenye point. Je umalaya ni mbaya? Maana kumekuwa na tabia za watu za ubinafsi na umimi.
Unakuta katika kadamnasi, mtu analaani umalaya wakati huo huo yeye anafanya umalaya.
Unakuta mtu analaani picha za ngono, wakati yeye anaziangalia kwa kujifungia chumbani. Umalaya ungekuwa mbaya nadhani ungekuwa tayari ulishatungiwa sheria kandamizi kama ya kubaka, ama madawa ya kulevya.
Malaya akikamatwa huwa anatafutiwa kosa jingine la kumshitakia na si matendo yake kwa kuwa hakuna kosa kisheria kufanya unalaya na sisi sote ni malaya wa kimfumo.
Utakapomnyooshea mwenziyo kidole kuwa "yule ni malaya", jiangalie mkono wako unaoutumia kumnyooshea kidole na utaona dole gumba lako linakusuta, litakuwa linakuelekea mwenyewe , tena kwa upande ulipo moyo wako ambao ndiyo uzima wako na roho yako.
Wakumbuka hadithi za Yesu alivyomnusuru malaya aliyetaka kuuawa kwa kupigwa mawe? kwamba aliye msafi awe wa kwanza kurusha jiwe.
Lakini walipojitathimini kila mmoja aliweka jiwe chini na "kujikataa".
Suala la umalaya wa mtu si lakujadili kwa sababu halina mashiko wala madhara yoyote, ni la kwake.

Pointless hadithi ya kufikirika unataka kusema wanao tengeneza sigara wote wanavuta sigara, pia katizame pakti ya sagara imeandikwa onyo gani kwa mtumiaji?
Heeee !!!!!!!!! uwiiiiiiiiii unatisha sana mkuu unasema swala la umalaya halina MADHARA duu nafikiri umefikia kiwango cha arosto ktk hii buissnes.hebu nieleza NJIA KUU INAYOTUMIKA KUSAMBAZA UKIMWI NI IPI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom