Ni ipi App nzuri ya kusomea vitabu nilivyo-download?

Ni ipi App nzuri ya kusomea vitabu nilivyo-download?

Theo Galavan

Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
30
Reaction score
13
Habar wakuu,

Bila kupoteza muda naomb niende moja kwa moja kwenye swali. Naomba kufahamishwa app nzur ambayo naweza soma vitabu nilivo download ambapo naweza kubold,kuhighlight na kumark points.

Natanguliza shukrani
 
Habar wakuu,

Bila kupoteza muda naomb niende moja kwa moja kwenye swali. Naomba kufahamishwa app nzur ambayo naweza soma vitabu nilivo download ambapo naweza kubold,kuhighlight na kumark points.

Natanguliza shukrani
Yeyote ya Epub
 
Zipo nyingi

AIReader
Mantano Reader Premium
Adobe Acrobat Reader uwe mwanachama ila
Office Suite
Office Mobile
Hizo za juu mbili zinasoma formats zote iwe EPUB iwe ODC iwe PDF iwe Word
 
Back
Top Bottom