Kwa Takwimu zipi? Chanzo gani? au hisia tu? Hao PCCB si ndio wanakamatwa watu kwa rushwa? Najua baadhi yao wanatajwa kwenye rushwa lakini sio kusema ni idara inayoongoza. Hawa jamaa wasingekuwepo tungekoma. Maana hapa ofisini tu wakitaka kupiga dili cha kwanza wanaulizana na kusema jamani kuna TAKUKURU hapa. Uoga wao tu tayari maana yake chombo kiko effective.PCCB
sababu sio mishahara toa kabisa hapo.Takwimu za Kidunia Polisi wanaongoza, na moja kati ya sababu ni kwamba kwenye nchi nyingi wanalipwa mishahara midogo, Pia mhalifu yeye mwenyewe anakuwa wa kwanza kushawishi kutoa rushwa hata kama hajaombwa ili asishtakiwe. Angalia trafiki ambavyo madereva tunajipendekeza tukiakamatwa kwa kosa lolote. Tusiwaseme sana mpaka na sisi tubadilike.
Sawa afande,tutalizingatia hilo.Takwimu za Kidunia Polisi wanaongoza, na moja kati ya sababu ni kwamba kwenye nchi nyingi wanalipwa mishahara midogo, Pia mhalifu yeye mwenyewe anakuwa wa kwanza kushawishi kutoa rushwa hata kama hajaombwa ili asishtakiwe. Angalia trafiki ambavyo madereva tunajipendekeza tukiakamatwa kwa kosa lolote. Tusiwaseme sana mpaka na sisi tubadilike.
Naunga mkonoUhamiaji
nmecheka kisenge yani haa haaa
we ndo ninja yule wa wizara fulani??Ati nini! Umecheka kisenge?
Wewe Jamaa, sisi hao PCCB tuko nao kitaa tunawajua, Ukitaka kupigia dili, ww mshorikishe tu, dili yako inapita vizuuuri.Kwa Takwimu zipi? Chanzo gani? au hisia tu? Hao PCCB si ndio wanakamatwa watu kwa rushwa? Najua baadhi yao wanatajwa kwenye rushwa lakini sio kusema ni idara inayoongoza. Hawa jamaa wasingekuwepo tungekoma. Maana hapa ofisini tu wakitaka kupiga dili cha kwanza wanaulizana na kusema jamani kuna TAKUKURU hapa. Uoga wao tu tayari maana yake chombo kiko effective.