Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

Mimi naomba msaada wa njia rahisi wa kutuma pesa katika account ya benk iliyopo Nigeria na kisha mimi kutumiwa pesa Tanzania...kiufupi Nigeria na Tanzania
 
Mimi naomba msaada wa njia rahisi wa kutuma pesa katika account ya benk iliyopo Nigeria na kisha mimi kutumiwa pesa Tanzania...kiufupi Nigeria na Tanzania
Hii bado sijafahamu pia ila kuna app unaweza kutumia kama vile ile ya flutterwave
 
Back
Top Bottom