Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Looh😂😂😂
Kulikua na skilled Labour, mkonge ulitengenezwa nyuzi za katani na kulikua na machine operators, kulikua na madereva wa kupeleka mizigo bandarini, kila shamba lilikuwa a shule na hospitali kwaajili ya wafanyakazi na watoto wao. Shule ziliajiri waalimu na hospitali ziliajiri wauguzi.Mkuu....
Yale Mazao yaliyokuwa yanazalishwa kipindi cha mkoloni yalitengeneza AJIRA?!!!
Ajira kwa maana ya AJIRA RASMI NA ISIYO RASMI?!!
Mkuu isije ikawa unatuchanganyia UKIBARUA na UKULI kuwa ni AJIRA....
Mkuu mkoloni hakutoa AJIRA ya jembe la Mkono Katika mashamba yake zaidi ya HAND TO MOUTH...anakulimisha mazao ya biashara nawe unalima kidogo kwa AJILI YA KULA na hakukuwa na MISHAHARA(nionyeshe Kama ilikuwepo).....
Kuhusu suala la AJIRA kwa Magufuli mbona LIKO WAZI....
Ni kweli kwa MIAKA 5 ya KWANZA hakuajiri Sana Kama WALIVYOAJIRI WATANGULIZI WAKE....
Haikuwa ni KIPAUMBELE CHAKE kwa sababu MTAMBUKA......
Je tujiulize...nguvu hiyo ya KUTOAJIRI hakuipeleka SEHEMU Nyingine kwa MASLAHI ya taifa?!!!
Kwani kupanga ni kuchagua....
Na kila UTAWALA una vipaumbele vyake...ndio MAANA aliyofanya OBAMA kuhusu HEALTH CARE NA MAKUBALIANO YA KINYUKLIA NA IRAN bwana TRUMP alikuja KUYAFUTA YOTE...je TRUMP si Mzalendo Kama OBAMA?!!!!!
Bahati iliyotokea hapa nchini ni kuwa yule ambaye "hakuajiri sana" ameshinda tena URAIS......
Kwa hiyo,tusubiri TUONE akiajiri wale WALIMU 13,000 alioahidi pamoja na kada Nyingine....kwani ndio KWANZAAAAA ameapa......
Wewe uliepembuka akili unaona sawa mwanadamu mwenzako kumwamulia mwanadamu mwenzake destiny yake?Hujapembuka akili wewe mtumwa
Mkuu kwani LEO hii huo mtiririko wote wa MAZAO...mpaka yafike kwa mtumiaji na mlaji hayatengenezi AJIRA?!!!!Kulikua na skilled Labour, mkonge ulitengenezwa nyuzi za katani na kulikua na machine operators, kulikua na madereva wa kupeleka mizigo bandarini, kila shamba lilikuwa a shule na hospitali kwaajili ya wafanyakazi na watoto wao. Shule ziliajiri waalimu na hospitali ziliajiri wauguzi.
Wote hawa walilipa kodi.
Moses aliwatoa wana Israël Misri akiwa na miaka mngapi??? Nuhu alikuwa kwenye mission ya Mungu akiwa na miaka mingapi???Mkoloni aendelee kukutawala wewe na wenye mawazo kama yako. Umri ni factor katika uongozi , kadri unavyokuwa mkubwa ndivyo na uwezekano (yamkini) unavyopungua, huo ni ukweli!
Kwa iyo Kama mkoloni angeendelea kutawala hadi leo kusingekuwa na huduma za hospitali kwenye vijiji??? Tena kwa taarifa zako ndo tungekuwa na hospitali bora zaidi na zenye wataalamu Bora zaidi kuliko hizi zenu ambazo hata dawa kupata tu ni mtihani.Mkuu kwani LEO hii huo mtiririko wote wa MAZAO...mpaka yafike kwa mtumiaji na mlaji hayatengenezi AJIRA?!!!!
Leo Kuna VIJIJI vingi zaidi ya vile vya mkoloni....
Je VIJIJI vya sasa huwa vinakosa DISPENSARY?!!!
Je vinakosa SHULE?!!!
Yaani huko nyuma Kulikuwa na SHULE NYINGI ZA Msingi,Sekondari,VETA,vyuo na vyuo vikuu?!!!
Aagh mkuu wangu wa Birmingham 😂😂
Kuna vijiji mvua zikinyesha mazao yanaozea shambani bara barabara hazipitiki, vijana wanalima nyanya wanakosa soko la kuuzia, hakuna systematic organisation ya soko la mazao. Korosho wakulima waliporwa.Mkuu kwani LEO hii huo mtiririko wote wa MAZAO...mpaka yafike kwa mtumiaji na mlaji hayatengenezi AJIRA?!!!!
Leo Kuna VIJIJI vingi zaidi ya vile vya mkoloni....
Je VIJIJI vya sasa huwa vinakosa DISPENSARY?!!!
Je vinakosa SHULE?!!!
Yaani huko nyuma Kulikuwa na SHULE NYINGI ZA Msingi,Sekondari,VETA,vyuo na vyuo vikuu?!!!
Aagh mkuu wangu wa Birmingham 😂😂
Mtoto wa wahamiaji nae ni nani kwenye reality???Naona umejichanganya hapa kidogo.
Kamara Harris ndiyo mtu mwenye asili ya kijamaika na kihindi. Wazazi wake wote wawili ni wahamiaji na sio vingine. Yaani yeye ni citizen by Birth!
....hatukujibagua pale mh.Kikwete alipolisimamia zoezi marehemu mzee Sitta asirudi uspika kwa chama kuamua kuwa ni muda was nafasi za akina mama na mh.Anne Makinda KUWA SPIKA?!!!
Hospital unaambiwa uende na lita ya mafuta ya taa, gloves za mkunga na wembe mpya wa kukatia kitomvu ukimpeleka mama kujifungia. Miaka 60 baada ya uhuru.Kwa iyo Kama mkoloni angeendelea kutawala hadi leo kusingekuwa na huduma za hospitali kwenye vijiji??? Tena kwa taarifa zako ndo tungekuwa na hospitali bora zaidi na zenye wataalamu Bora zaidi kuliko hizi zenu ambazo hata dawa kupata tu ni mtihani.
Huko zamani za mkoloni MVUA hazikuwepo?!!!!Kuna vijiji mvua zikinyesha mazao yanaozea shambani bara barabara hazipitiki, vijana wanalima nyanya wanakosa soko la kuuzia, hakuna systematic organisation ya soko la mazao. Korosho wakulima waliporwa.
Kwa iyo mzungu angeendelea kuwepo asingejenga barabara??? South Africa tu mzungu kakaa hadi mwaka 1990 iko vile kimiundombinu, sie angekaa hadi mwaka huo tu tungekuwa wapi kama kwa miaka ile tu alijenga reli na vitu vingi???Huko zamani za mkoloni MVUA hazikuwepo?!!!!
Kwani Wala hakujibidiisha KUJENGA MIUNDO MBINU kwa ajili ya WAZAWA....zaidi ya RELI ya kwenda kwenye mashamba ya "KORONA YA MKONGE" na ile barabara "moko" ya DAR-TANGA-MOSHI....
Jakaya ameiunganisha MIKOA...
Magufuli amekuja na TARURA....
Mkuu umesahau malengo ya JPM ya nchi ya viwanda?!!!
Ndio sasa ninyi DIASPORA mumobilize wenzenu muje kuwekeza VIWANDA VIDOGOVIDOGO tuyaongezee MNYORORO WA THAMANI hayo mazao YASIOZE...
Mkuu yaani hospital inataka mafuta ya taa?!!!Hospital unaambiwa uende na lita ya mafuta ya taa, gloves za mkunga na wembe mpya wa kukatia kitomvu ukimpeleka mama kujifungia. Miaka 60 baada ya uhuru.
Sawa....Kwa iyo mzungu angeendelea kuwepo asingejenga barabara??? South Africa tu mzungu kakaa hadi mwaka 1990 iko vile kimiundombinu, sie angekaa hadi mwaka huo tu tungekuwa wapi kama kwa miaka ile tu alijenga reli na vitu vingi???
Wewe ni bure kabisa.Amani iwe nanyi.
Wakati Joe Biden akiwa ameshinda kiti cha Urais wa Marekani akiwa na miaka 78 Makamu wake mtarajiwa Bi Kamala Harris alitoa hotuba nzuri iliyosisimua watu wengi sana.
Kamala akiwa binti aliyezaliwa na wazazi wote wahamiaji waliotoka nje ya Marekani yaani Baba mwenye asili ya Jamaica na mama mwenye asili ya India alitoa hotuba kali sana huku akisifia Uzuri wa Marekani kuwa ukiwa na ndoto yeyote ile Marekani unaweza kuitimiza haijalishi unatoka familia gani, au wewe ni nani au umetoka kwenye background gani au ni mtu wa namna gani. Hii kwa Wamarekani wanaita American dream.
Hili limejidhihilisha kuanzia kwa Joe Biden hadi kwa Kamala Harris.
Kwa Joe Biden amekuja kushinda Urais wa Marekani akiwa na miaka 78, huku akiwa alishajaribu mara mbili huko nyuma kuwa Rais na kushindwa.
Kwa Kamala amekuwa Makamu wa Rais huku akiwa ni mtoto wa wahamiaji.
Ila kwa Tanzania leo hii Magufuli akiwa anahutubia baada ya kuwaapisha Majaliwa, Kabudi na Mpango amesema kitu ambacho kwa watu wenye akili ni jambo ambalo linahuzunisha na kuumiza sana.
Amesema watu walio na umri mkubwa kumzidi hawawezi kuwa Marais na hata kama wana hizo ndoto basi wazifute. Alienda mbele na kuwataja Lukuvi na Kabudi
Hii inamaanisha nini?
Hii inamaanisha kwa Tanzania chini ya Magufuli na CCM mtu hata akiwa na ndoto yake ya kuwa mtu fulani au kufanikisha jambo fulani basi hiyo ndoto yake hawezi kuifanikisha hadi ipate ridhaa ya watu fulani wenye uwezo wa kuamua hatma yake.
Hii ina maanisha pia kwa Watanzania ndoto zetu tulizonazo juu ya maisha yetu wala haziamuliwi na Mungu bali mtu mkuu anayechukua madaraka.
Kwa hali ni Bora Tanzania tungeendelea kutawaliwa na Wazungu mpaka tupate akili na kustaarabika ndio wangetuachia tujitawale.
Na kwa hali hii ndio maana hatutakuja kupata maendeleo ya kweli ya kwetu hadi pale tutakapojua na kukubaliana kuwa CCM ndio mchawi wa ustawi wa Tanzania.
Dada ficha ujinga wako.... Kila shamba lilikuwa na shule n dispensary can u prove thatKulikua na skilled Labour, mkonge ulitengenezwa nyuzi za katani na kulikua na machine operators, kulikua na madereva wa kupeleka mizigo bandarini, kila shamba lilikuwa a shule na hospitali kwaajili ya wafanyakazi na watoto wao. Shule ziliajiri waalimu na hospitali ziliajiri wauguzi.
Wote hawa walilipa kodi.