Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
Hahahahaa... Umezira!?...
Sijui na kwenye ndoa utaingia na kutoka Kama ulivyofanya JF.
ahaa sasa nimeelewa,kumbe ile post ya kabao kamoja na kujamba jamba na kuambiwa kama kidume onyesha nyumbani kwako kwanza ndio iliyowaboa ndo maana tuka........ dada wa watu ama kweli ukweli unauma.au sio ivyo?
not enough usitoke jf tafadhali
tunahitaji watu walio open na daring kama wewe
Nimegundua JF hutakiwi uwe mkweli ila siku zote unatakiwa kusema uwongo na kuwa mnafiki. Mimi kama mdada nimekuwa mkweli sana katika mambo ya kijamii ambayo yanamuhusisha kila mtu. ila shida ambayo nimekuwa nikiipata uki post a genuine thread ambayo inahusisha maisha ya watu basi inakuwa ni kejeli, matusi, na kushambuliwa with every TOM, DICK and JERRY.
I am tired and i better not contribute.
Madada - Samahanini sana na endeleeni na ndoa zenu ila mkae mkijua wanaume zenu wana wasaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
BYE - NOT ENOUGH AND WILL NEVER BE ENOUGH