chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,262
- 1,620
Habari za Jumamosi ya leo waungwana,
Tafadhali, kwa mwenye kufahamu hatua za kufuata ikiwa unataka kuipata simu iliyopotea kwa kutumia IMEI# naomba anifahamishe.
Hii ni baada ya kutoa taarifa Polisi.
Tafadhali, kwa mwenye kufahamu hatua za kufuata ikiwa unataka kuipata simu iliyopotea kwa kutumia IMEI# naomba anifahamishe.
Hii ni baada ya kutoa taarifa Polisi.