Ni hatima ya CHADEMA ndani ya jiji la Mwanza?

Ni hatima ya CHADEMA ndani ya jiji la Mwanza?

Ntemi wa Buyombe

New Member
Joined
May 1, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
 
Unatambua kwamba Kiwia na Wenje wamemfanya Kabwe mkurugenzi aliyewekwa na Kikwete na Ridhiwani kung,oka hizo ndio salamu za wenje na kiwia kwamba mwenyekiti mpya wa CCM alishindwa kurudisha kata ya kirumbo mambo vipi
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CDM ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua wenje na kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora! je chadema kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
duuu mi-CCM bwana mudamwingine mseme kwenye majimbo yenu mmefanya nini na sikushambulia majimbo ya upinzani mda woote kwanza mnayapa jina kuubwa, HALAFU MAMBO YA MATUSI YAMEINGIAJE TENA HAPA!
 
Duuh.. Post yako ya kwanza kwa Id mpya ndo umeanza na bolingo hiyo..?
 
Katibu Mkuu wa Chama tawala ni jangiri analindwa na dola aibu mno aibu aibu kwa sababu CCm wametuona watanzania hamnazo sasa hivi naanzisha kampeni ili kila mahali akipita aitwe jangiri ,jangiri,kama Mkapa na MACCM menziwe yalivyoitwa fisadi fisadi mpaka CCM wakaogopa tunaanza kampeni na Mwanza
 
Katibu Mkuu wa Chama tawala ni jangiri analindwa na dola aibu mno aibu aibu kwa sababu CCm wametuona watanzania hamnazo sasa hivi naanzisha kampeni ili kila mahali akipita aitwe jangiri ,jangiri,kama Mkapa na MACCM menziwe yalivyoitwa fisadi fisadi mpaka CCM wakaogopa tunaanza kampeni na Mwanza
Matokeo ya mkutano wa kinana morogoro ndio hizi fitna zenu mufilisi. Kinana is clean
 
Wabunge wachache sana wa chadema wanajua kujenga hoja lakini wengi wao mmmhh
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+

Na jee UJANGILI WA KINANA dhidi ya TEMBO wetu una tija kwa Taifa??

Je Maisha Bora aliyotuahidi Kikwete ameishaleta?? Kaa chonjo, Kinana Strikes Again in tarangire
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+

Rizwani Kikwete yupo huko kwanini asifanye mkutano wa faragha na wananchi? na kuwauliza matatizo yao kuliko kwenda kuchangisha sh. millioni 100 kwa kuanzisha Gazeti?

Hauni hizo pesa zingewasaidia wananchi wa Mwanza zaidi ya GAZETI??
 
Matokeo ya mkutano wa kinana morogoro ndio hizi fitna zenu mufilisi. Kinana is clean

Matokeo ya mkutano wa Kinana Morogoro ni CHADEMA kushinda uchaguzi wa vitongoji viwili kule Ruaha ambapo wananchi walihoji ushiriki wake kwenye UJANGILI. Kinana ni Jangili Sugu, toka enzi hizo ni Mwanajeshi
 
Wabunge wachache sana wa chadema wanajua kujenga hoja lakini wengi wao mmmhh


Sasa wabunge wa CCM wao HOJA zao zinaishia USWISI? Sijawahi kusikia Pesa za Meno ya Tembo zinakwenda wapi? Labda ndio zinazonunulia CCM TSHIRTS KHANGA WALI
 
Katibu Mkuu wa Chama tawala ni jangiri analindwa na dola aibu mno aibu aibu kwa sababu CCm wametuona watanzania hamnazo sasa hivi naanzisha kampeni ili kila mahali akipita aitwe jangiri ,jangiri,kama Mkapa na MACCM menziwe yalivyoitwa fisadi fisadi mpaka CCM wakaogopa tunaanza kampeni na Mwanza
Kuna watu nu magaidi hadi wamekamatwa na video akipanga ugaidi mf lwakatare mkurugenzi wa ulinzi na uhasama wa chadema
 
Kuna watu nu magaidi hadi wamekamatwa na video akipanga ugaidi mf lwakatare mkurugenzi wa ulinzi na uhasama wa chadema

Vile vile kuna mtu anaitwa Martin Shigela,sms zake zimedakwa anataka akapumzike na mke wa mtu visiwani Zanzibar,huu nao ni ugaidi wa mapenzi mkuu au?
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+

For sure wewe ni kichanyaa kama utumbo wa nzi huna faida yeyote
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+

umeanza vizuri umemaliza na pumba
 
Sawa L. Masha utarudi tena kuwa mbunge maana hawa wa chadema hawawezi.
 
Tatizo lenu magamba hamjui majukumu ya wawakilishi (wabunge) mnataka wao ndiyo wajenge madaraja na mabarabara kwa kuzoea fedha za kifisadi, fedha zetu wananchi ziko hazina na serikali tumeikasimu kuzisimamia ili zitunufaishe kupitia kutatua kero zetu. Wawakilishi (wabunge) kazi yao ni kuisimamia serikali ili iweze kutumia rasilimali zetu(fedha) zetu ipasavyo. Sasa mtu anaibuka anasema wabunge hawajaleta mabadiliko unashangaa, ebu angalia watu walivyoamuka kuhusu rasilimali zao na hata haki zao za msingi na bado pamoja na mbinu chafu kuhujumu lakini hadi kitaeleweka!
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+



Kinyaa kingine hiki huyu naye wa wapi ? Wenzako huja kwa ajili akili hapa na ustaarabu wewe unakurupuka you need a long term ban
 
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!

Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+

Karibu sana mdau na nitoke vipi yako,kilichofanywa na Wenje na Kiwia ni zaidi ya ukombozi,kuwatoa watu katika zama za ujima nakuweza kujua hili baya na hili zuri si mchezo,lakini pia kila kitu kina vipau mbele ili kufikia malengo.Walianza na elimu ya uraia watu wameilewa,machinga wana heshimika kila kona.Uwazi katika mapato na matumizi ya serikali yanayokusanywa na jiji,wameweza kutoa mfumo wa kisultani kwa kumuondoa swaiba Kabwe.
 
Back
Top Bottom