Ntemi wa Buyombe
New Member
- May 1, 2013
- 2
- 0
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!
Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+