Hii nayo ni thread ya sh 7000?Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!
Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
Wewe unaleta hoja za kishamba humu JF na hii inachangiwa na ugeni wako, unaweza kutuelezea Mgombea Urais wa CCM anapompigia kampeni mgombea ubunge wa CCM na kusema Mkichagua Upinzani serikali haitawaletea maendeleo huwa anamaanisha nini?Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora! Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!
Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
Kwa muda sasa kumekuwepo na habari mbali mbali kuhusiana na chama cha CHADEMA ndani ya jiji la mwanza! kiukweli wananchi walipomchagua Wenje na Kiwia walitarajia mabadiliko makubwa kinyume chake kila kitu kimezidi kudorora!
Je CHADEMA kujaa watukana matusi ni tija kwa taifa?+
Matokeo ya mkutano
wa Kinana Morogoro ni CHADEMA kushinda uchaguzi wa vitongoji viwili kule
Ruaha ambapo wananchi walihoji ushiriki wake kwenye UJANGILI. Kinana ni
Jangili Sugu, toka enzi hizo ni Mwanajeshi
Wabunge wachache sana wa chadema wanajua kujenga hoja lakini wengi wao mmmhh
vile vile kuna mtu anaitwa martin shigela,sms zake zimedakwa anataka akapumzike na mke wa mtu visiwani zanzibar,huu nao ni ugaidi wa mapenzi mkuu au?