Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,544
- 34,871
Kumuondoa waziri mkuu ni lazima uvunje baraza lote la mawaziri (japo kwa Tz huenda isiwe lazima)...na hilo sioni likitokeaKama Samia anasema LUKUVI amemteua kumsaidia huko IKULU kuwaongoza hao mawaziri anaosema wadogo wakina RIDHWANI kuwasimamia; maana yake ni kwamba atachukua kazi ya Majaliwa kama waziri Mkuu!!!