Ni halali kwa mbunge kuongea na simu bungeni huku kikao kikiendelea?

Ptz

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
541
384
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana vikao vya bunge letu la Tanzania live kwa kupitia tv.

Nimeshuhudia baadhi ya wabunge na mawaziri wakiongea na simu bungeni huku kikao cha bunge likiendelea, ni mara kadhaa nimemshuhudia Mkuchika akiongea na simu na gazeti la mwanachi lilishamtoa kwenye front page picha yake huku akiongea na simu.

Leo hii pia, nimemshudia David Kafulia (mbunge Kigoma Kusini) akiongea na simu huku mzee Cheyo akitoa mchango wake, zaidi ya yote punde baada ya mzee Cheyo (Mbunge wa Bariadi) kumalizia mchango wake, kuna Mbunge wa Mbalali, Mh Kilufi akichangia kuna mbunge mmoja alikuwa kaketi kushoto kwake ghafla msg iliingia kwenye simu yake, niliisikia msg kwa ringtone ya Nokia, mbunge huyo alichukua simu na kuisoma msg na mara tu baada ya kusoma alionesha tabasamu zito (Source TBC leo saa 11 hadi moja jioni).

Kwangu mimi nauita upumbavu. Nimekuwa pia nikifuatilia bunge la Kenya na Uganda, sijawahiona upumbavu huu.

Ni bunge hili hili kuna mbunge mmoja alishathubutu kughushi hati na saini ya waziri mkuu Mizengo Pinda na kuachwa bila hatua yoyote ile.

Je, ni halali kwa tabia kufanywa na hawa watu tunawaita waheshimiwa kuzitumia simu zao wakati wa kikao kikiendelea katika jengo tunaloliita tukufu kwani hata huku uraiani kuna vikao tumekuwa tukivifanya ni kulazimika kuzizima au kutoingia na simu kabisa?

Kkwa mifano ya mabunge ya wenzetu niliyoitaja mfano bunge la Kenya naona kwa Yule spika "sir Kenneth Marende", naibu wake "sir Farah Macalin" upumbavu ninaouona huu kwa bunge letu Tanzania si rahisi kuuvumilia kwa bunge la Kenya, nilishashudia waziri akitolewa nje na kupigwa Ban ya vikao vitatu kwa kutojibu swali ipasavyo kwa ushahidi nilionao Bunge la Kenya ni Bunge la Kenya kweli "It's a really Kenyans Parliament" ni vigumu kumjua hata mpinzani au mtawala ni ninani!

Nawasilisha.
 
Hata kusinzia kwenye bunge inatokea tz tu,makinda bunge limemshinda na utashudia vioja vingi
 
Wako kwa ajili ya POSHO zaidi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:thinking:
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana vikao vya bunge letu la Tanzania live kwa kupitia tv.

Nimeshuhudia baadhi ya wabunge na mawaziri wakiongea na simu bungeni huku kikao cha bunge likiendelea, ni mara kadhaa nimemshuhudia Mkuchika akiongea na simu na gazeti la mwanachi lilishamtoa kwenye front page picha yake huku akiongea na simu.

Leo hii pia, nimemshudia David Kafulia (mbunge Kigoma Kusini) akiongea na simu huku mzee Cheyo akitoa mchango wake, zaidi ya yote punde baada ya mzee Cheyo (Mbunge wa Bariadi) kumalizia mchango wake, kuna Mbunge wa Mbalali, Mh Kilufi akichangia kuna mbunge mmoja alikuwa kaketi kushoto kwake ghafla msg iliingia kwenye simu yake, niliisikia msg kwa ringtone ya Nokia, mbunge huyo alichukua simu na kuisoma msg na mara tu baada ya kusoma alionesha tabasamu zito (Source TBC leo saa 11 hadi moja jioni).

Kwangu mimi nauita upumbavu. Nimekuwa pia nikifuatilia bunge la Kenya na Uganda, sijawahiona upumbavu huu.

Ni bunge hili hili kuna mbunge mmoja alishathubutu kughushi hati na saini ya waziri mkuu Mizengo Pinda na kuachwa bila hatua yoyote ile.

Je, ni halali kwa tabia kufanywa na hawa watu tunawaita waheshimiwa kuzitumia simu zao wakati wa kikao kikiendelea katika jengo tunaloliita tukufu kwani hata huku uraiani kuna vikao tumekuwa tukivifanya ni kulazimika kuzizima au kutoingia na simu kabisa?

Kkwa mifano ya mabunge ya wenzetu niliyoitaja mfano bunge la Kenya naona kwa Yule spika "sir Kenneth Marende", naibu wake "sir Farah Macalin" upumbavu ninaouona huu kwa bunge letu Tanzania si rahisi kuuvumilia kwa bunge la Kenya, nilishashudia waziri akitolewa nje na kupigwa Ban ya vikao vitatu kwa kutojibu swali ipasavyo kwa ushahidi nilionao Bunge la Kenya ni Bunge la Kenya kweli "It's a really Kenyans Parliament" ni vigumu kumjua hata mpinzani au mtawala ni ninani!

Nawasilisha.

Ndio maana bunge letu linaongoza kwa kupitisha matumizi makubwa ya fedha bila kuangalia namna ya kuongeza vyanzo vya fedha, mfano mzuri budget ni sawa na Rwanda (sasa hapa tulinganishe idadi yetu na Rwanda jibu hapo unadhani ni nani ataendelea?). Angalia budget yetu na ya Kenya, wao budget kubwa zaidi yetu kwa trioni 10. Sasa angalia seating arrangement ya Bunge ilivyo wenye budget kubwa ukumbi wao wa bunge ni simple ukija kwetu ukumbi full kujiachia kwa mtu anaeangalia TV anaweza sema Tanzania na nchi jirani sie ndio tunaongoza kumbe wapi
 
Hapo ndipo inaonyesha udhaifu wa SPIKA; Niliongelea Juu ya Jinsi Chief Adam Sapi Mkwawa alivyokuwa Mkali na Mgumu

Na Mfuataji wa Kanunu za Bunge, baadhi ya wana Jamii wakasema sababu ilikuwa ni Chama Kimoja...
 
sio tu bungeni bali sehemu yoyote ya kazi sio vizuri kuongea kwenye simu sehemu ya kazi unless hiyo simu inahusiana na mambo ya kazi..sehemu nyingi tu hapa mjini ukiingia sehemu za kazi unakuta mfanya kazi anaongea na simu huku wateja wamepanga foleni wanasubiri huduma...bt ndio hivyo ndio bongo yenyewe inabidi tukubaliane nayo
 
Mkuu hii ni zamu ya bibi kiroboto kwa hiyo mambo mengi yamemshinda
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana vikao vya bunge letu la Tanzania live kwa kupitia tv.

Nimeshuhudia baadhi ya wabunge na mawaziri wakiongea na simu bungeni huku kikao cha bunge likiendelea, ni mara kadhaa nimemshuhudia Mkuchika akiongea na simu na gazeti la mwanachi lilishamtoa kwenye front page picha yake huku akiongea na simu.

Leo hii pia, nimemshudia David Kafulia (mbunge Kigoma Kusini) akiongea na simu huku mzee Cheyo akitoa mchango wake, zaidi ya yote punde baada ya mzee Cheyo (Mbunge wa Bariadi) kumalizia mchango wake, kuna Mbunge wa Mbalali, Mh Kilufi akichangia kuna mbunge mmoja alikuwa kaketi kushoto kwake ghafla msg iliingia kwenye simu yake, niliisikia msg kwa ringtone ya Nokia, mbunge huyo alichukua simu na kuisoma msg na mara tu baada ya kusoma alionesha tabasamu zito (Source TBC leo saa 11 hadi moja jioni).

Kwangu mimi nauita upumbavu. Nimekuwa pia nikifuatilia bunge la Kenya na Uganda, sijawahiona upumbavu huu.

Ni bunge hili hili kuna mbunge mmoja alishathubutu kughushi hati na saini ya waziri mkuu Mizengo Pinda na kuachwa bila hatua yoyote ile.

Je, ni halali kwa tabia kufanywa na hawa watu tunawaita waheshimiwa kuzitumia simu zao wakati wa kikao kikiendelea katika jengo tunaloliita tukufu kwani hata huku uraiani kuna vikao tumekuwa tukivifanya ni kulazimika kuzizima au kutoingia na simu kabisa?

Kkwa mifano ya mabunge ya wenzetu niliyoitaja mfano bunge la Kenya naona kwa Yule spika "sir Kenneth Marende", naibu wake "sir Farah Macalin" upumbavu ninaouona huu kwa bunge letu Tanzania si rahisi kuuvumilia kwa bunge la Kenya, nilishashudia waziri akitolewa nje na kupigwa Ban ya vikao vitatu kwa kutojibu swali ipasavyo kwa ushahidi nilionao Bunge la Kenya ni Bunge la Kenya kweli "It's a really Kenyans Parliament" ni vigumu kumjua hata mpinzani au mtawala ni ninani!

Nawasilisha.

nidhamu inatuangusha
 
hakuna tabia nisiyopenda kama mtu kupokea simu wakati anafanya shughuli nyingine,bunge ni chombo cha kutunga sheria,ni muhimili muhimu wa nchi,ndipo watz wote wanawakilishiwa mawazo yao,bunge letu halina nidhamu,wabunge wetu ni kama genge au mkusanyiko wa wacheza bao,hawajali pesa yetu inayopotea kuwalisha wao.mtu anapata wapi courage kuzungumza kwa simu bungeni ni ulimbukeni,ni ulevi wa madaraka,ni ufinyo wa kutotambua wajibu,tuna wabunge wa ajabu sana tz.bt nadhani wakati utafika tutapata uongozi usiotaka masihara kwakuwa nasi wananchi twaona na twajifunza sehem mbalimbali pia.ila ni tabia mbaya sana kwa wabunge kufanya mawasiliano binafsi bungeni.
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana vikao vya bunge letu la Tanzania live kwa kupitia tv.

Nimeshuhudia baadhi ya wabunge na mawaziri wakiongea na simu bungeni huku kikao cha bunge likiendelea, ni mara kadhaa nimemshuhudia Mkuchika akiongea na simu na gazeti la mwanachi lilishamtoa kwenye front page picha yake huku akiongea na simu.

Leo hii pia, nimemshudia David Kafulia (mbunge Kigoma Kusini) akiongea na simu huku mzee Cheyo akitoa mchango wake, zaidi ya yote punde baada ya mzee Cheyo (Mbunge wa Bariadi) kumalizia mchango wake, kuna Mbunge wa Mbalali, Mh Kilufi akichangia kuna mbunge mmoja alikuwa kaketi kushoto kwake ghafla msg iliingia kwenye simu yake, niliisikia msg kwa ringtone ya Nokia, mbunge huyo alichukua simu na kuisoma msg na mara tu baada ya kusoma alionesha tabasamu zito (Source TBC leo saa 11 hadi moja jioni).

Kwangu mimi nauita upumbavu. Nimekuwa pia nikifuatilia bunge la Kenya na Uganda, sijawahiona upumbavu huu.

Ni bunge hili hili kuna mbunge mmoja alishathubutu kughushi hati na saini ya waziri mkuu Mizengo Pinda na kuachwa bila hatua yoyote ile.

Je, ni halali kwa tabia kufanywa na hawa watu tunawaita waheshimiwa kuzitumia simu zao wakati wa kikao kikiendelea katika jengo tunaloliita tukufu kwani hata huku uraiani kuna vikao tumekuwa tukivifanya ni kulazimika kuzizima au kutoingia na simu kabisa?

Kkwa mifano ya mabunge ya wenzetu niliyoitaja mfano bunge la Kenya naona kwa Yule spika ”sir Kenneth Marende", naibu wake “sir Farah Macalin” upumbavu ninaouona huu kwa bunge letu Tanzania si rahisi kuuvumilia kwa bunge la Kenya, nilishashudia waziri akitolewa nje na kupigwa Ban ya vikao vitatu kwa kutojibu swali ipasavyo kwa ushahidi nilionao Bunge la Kenya ni Bunge la Kenya kweli “It’s a really Kenyans Parliament” ni vigumu kumjua hata mpinzani au mtawala ni ninani!

Nawasilisha.

Kamuulize Makinda atakupa kifungu cha sheria kinachoruhusu maana hakosagi vifungu vyakutetea.
 
Unashangaa kusikiliza simu? Mbona kuna wengine huwa wanaonekana wakitafuna jojo kama kocha wa Manchester United?
 
Bora ya kupokea sim mjengoni na kulala,kuliko kupitisha sheria za kikoloni,na kupigia debe bajeti ya kukandamiza wanchi.
 
Kwa bunge la Silly Season;
  • Kupiga simu ruksa wakati bunge linaendelea
  • Kulala bungeni ruksa wakati bunge linaendelea
  • Kutukana ruksa wakati bunge linaendelea
  • Kuzomea ruksa wakati linaendelea
 
Arabianfalcon na Wana JF,
Kosa ni kosa, hakuna kubwa wala dogo, Dhambi ni Dhambi.
Usiwafariji, hata kwa kusikiliza msg wakati Mbunge anatoa au kuchangia Mada etc ni Kosa, hata kwenye Maadili ya Bunge hakuna kitu kama hicho, kuruhusiwa kusoma msg kwenye simu au kuongea kwenye simu.
Kibaya tunaambiwa alitabasamu, hatujui msg ilimfurahishije.
Nawakilisha

Ni afadhali kusikiliza simu bungeni kuliko kulala (kusinzia) mjengoni.
 
Sa kama mbunge anaamua kupiga usingz,atashindwaje kupokea simu? Kwanza wabunge wengi,esp.wa Ccm,hawanaga time ya kusikiliza michango,labda tu kama unausu Posho! Apo wanak uwa active ile mbaya! Then uyu mama hawaoni? Au kawekwa pale kuwaona akina mnyika tu?
 
Back
Top Bottom