GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Ni Tanzania pekee duniani fedha za walipa kodi hazilengi kumsaidia
mlipa kodi bali wachache. Vivyo hivyo walipa kodi wa Tanzania ndio
walipa kodi pekee duniani hawahoji hela zao zimetumika vipi kwa maslahi yao.
Tupe source na tafiti ipi ilifanyika kuthibitisha hayo usemayo ???? isije kuwa ni kauli za uchochezi