Mwarukuni
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 369
- 374
We endelea kuona kawaida,usijali wala nini.akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida
We endelea kuona kawaida,usijali wala nini.akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida
Ndugu yangu pole sana,Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
Pole,
Wanawake wanaliwa kila siku na marafiki na hata wageni. Tofauti na wa kwako ni hiyo mimba tu. Wengine hupata lakini huflash. Siwatetei bali nasema ndivyo wasivyo waungwana,.Tamaa za pesa, tamaa za mwili, na ushabiki na kukosa uvumilivu ndio vinafanya wengi wawe kama walivyo leo hii. Wanaachia kama karanga. Ndio wamefanya wanaume wasahau kabisa jinsi ya kutongoza maana wanjipeleka wenyewe kama mabata maji.
Dawa moja nzuri ni kuachana nae na kuangalia maisha yako, wameshatenda. Wewe Muombe Mungu akuongoze na maumivu unayoyasikia omba waje wakukumbuke siku moja.
Kama hamna watoto basi usiwe na wasi, duh mie naona bora mtu usiemjua akakutenda ila besti wako inauma sana.
Ukiwanyamazia bila kugombana nao na kupigisha kelele watakaa milele wajiulize vipi, we waambie unajua na mkeo vimeisha. hapo rafiki yako atakua amemweleza visiri vyako vya pembeni kama unavyo etc.
Panga mambo yako kimya ya kikazi na kuama kama ulienda Arusha basi labda unaweza kuhama, then ondoka mwenyewe usijali kodi atajilipia au ataama ikiisha kama mnapangisha. Kama kwako umejenga kwa pesa yako mtimue.
Pole sana.
halaf atafute mwingine bora zaidi kuliko uyo kiruka njia eti?
hiiiiiiivi hii breed ya wanaume wa aina hii ilitokea waaaapi!ah!