ni fanye nin kuhusu mke wangu?

ni fanye nin kuhusu mke wangu?

Pole Sana Ndugu.

Wanawake wa migodini wote wanaakili moja tu. utadhani wamezaliwa na mama mmoja.

Pese mbele. Ukibishana nae sana atakuambia ulinikuta hapa hapa niache hapa hapa. kama ni watoto wako chukua.

Nimeyaona haya KAKOLA, wlipogoma wale jamaa wa Bulyanhulu

Anyway Pole sana

Arifu ina maana jamaa alioa mwanamke wa mgodini bila kujua tabia zao.
 
ataamua mwenyewe, maana mapenzi ayajuaye aliyomo ushauri mara nyingi uingilia huku na kutokea kuleeeeeee. Anaweza pia akakutana na mwingine akawa worse kuliko hata huyo. Ni kuomba Mungu amwelekeze katika maamuzi yake.


ilo nalo neno!
 
nakushauri uachane nae miezi minne ni midogo sana kufanya uzinzi huyo dada ni muhuni,kama ameshindwa kuvumilia kipindi hiki atawezaje majaribu ya long term kama vile ukipatwa kisukari na kuwa importent?pima mwenyewe kama una kifua cha kumsamehe uendelee naye ambapo mie sikushauri kwa sababu kuna mtoto sasa atakayekuwa anakukumbusha machungu kila siku,ingekuwa hana ujauzito issue isingekuwa comoplicated kihivyo,kwa sasa muachie aende kwa huyo rafiki yako:confused3:
 
Duh kugegedewa noma pole sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ndo maana wanaume wengi wanapenda kusema bado nipo nipo sana,,,

Wanawake wenyewe wa dot com hawa lazima tuishi nao kwa akili..

Ndo maana nilivyotangaza kuweka mtu ndani swali nililoulizwa sana home ni je una source za income za uhakika kuipa familia basic needs hata kama kazi ikisimama? Nami nilivyo kauzu nikasema ndioooooo

Jamani jamani jamanai,,wanawake wa dot com hawa tusioe kwa kukurupuka, maana wakiamkaga vibaya ni zaidi ya majanga....

Mambo ya kuoa source ya income mshahara tu, una changamoto sana,,
 
kamwe katika maisha yako usimwamini mtu kwenye mwanamke wako,pili usiruhusu wanaume kuja kwako tofauti na ndugu yako hata kama ni rafiki zako waambie mtakutana baa.afu uyo rafiki yako mpe mda time will tell
 
utakuwa na uamuzi tayari.
Execute it!
 
pole kwa matokeo mabaya katika ndoa yako. Kama ulimpata huyo mke DEMU kwa kigezo chi wewe kuwa GGM (mijihela) basi kubali matokeo. Tafuta tena mijihela uoe mwingine.
Au sasa badilisha mtindo, pata mke mwema wakati huu wa kufulia, ili angalau ndoa idumu kwa muda mrefu zaidi.
Katika kutafuta mwenza mpya wa maisha zingatia tofauti kati ya kichenchedo, demu (wa mitoko na kutumbua naye) na wife material (wa kuishi naye kwenye shida na raha)
 
nakushauri uachane nae miezi minne ni midogo sana kufanya uzinzi huyo dada ni muhuni,kama ameshindwa kuvumilia kipindi hiki atawezaje majaribu ya long term kama vile ukipatwa kisukari na kuwa importent?pima mwenyewe kama una kifua cha kumsamehe uendelee naye ambapo mie sikushauri kwa sababu kuna mtoto sasa atakayekuwa anakukumbusha machungu kila siku,ingekuwa hana ujauzito issue isingekuwa comoplicated kihivyo,kwa sasa muachie aende kwa huyo rafiki yako:confused3:
Thanks my dear 4all of your good advice i wish to have you as my best friend in jf will you?
 
Kweli una moyo.Umeona kwa macho yako wakifanya mapenzi, umeletewa mimba na sasa unasubiri ushauriwe nini cha kufanya! Mi nakupa pole kwa kutokuwa na uwezo wa kuchukua maamuzi ya KIUME
 
Pole sana Damas Peter kwa yaliyokukuta, nadhani mkeo anaongozwa na tamaa na si upendo wa kweli coz asingethubutu kukusaliti kipindi hiki cha shida, alitakiwa awe bega kwa bega na wewe hata kwa ushauri tu ili muweze kufikia malengo ya mafanikio.
Hata ukiamua kumsamehe huyo mtoto atakaye zaliwa atakuwa ndio source kubwa ya maumivu kwenye moyo wako japokuwa yeye hana kosa.. So kuliko uendelee kuumia kwa jambo ambalo linaepukika ni bora tu umuache huyo mwanamke.

Nb; huo ni ushauri tu, hatahivyo unaweza fuata moyo wako vile unataka
 
Timua mkeo, endeleza urafiki na bestio. Au hujui kuwa wanaume 'mnapendana'.
 
Good points; iwahusu na wale ambao huazima magari kwa niaba ya kutongozea.
pole kwa matokeo mabaya katika ndoa yako. Kama ulimpata huyo mke DEMU kwa kigezo chi wewe kuwa GGM (mijihela) basi kubali matokeo. Tafuta tena mijihela uoe mwingine.
Au sasa badilisha mtindo, pata mke mwema wakati huu wa kufulia, ili angalau ndoa idumu kwa muda mrefu zaidi.
Katika kutafuta mwenza mpya wa maisha zingatia tofauti kati ya kichenchedo, demu (wa mitoko na kutumbua naye) na wife material (wa kuishi naye kwenye shida na raha)
 
hebu iiandike vema.
umemkuta mkeo ana mimba
then ndio ukapeleleza ukawakuta?
sasa ulitegemea nini kumwacha miezi yote minne? wewe huko hukugegeda mtu?
umeshajua ni mimba ya miezi mingapi? kama ni miezi 4 na zaidi itakuwa yako
Ukisema hvo mkuu unakosea mke inatakiwa awe mvumilivu na hata akigegedwa isiwe live...kabsa ndo hadi mimba?yeye anaweza kukujb kagegeda lakini hajampa mtu mimba kwa ajili ya heshima ya mke wake!!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hapo lazima umuache!!Yan ni lazima na ukiendelea nae unapata dhambi kidini huo ni usaliti wa mwisho kabisa kimapenzi-kwaheri

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
pole sana
mwache aendele na rafiki yako maana tayari ana mimba mtoto atakapozaliwa na kumwona sio wako atakuongezea machungu na ndoa yako kutokuwa na amani siku zote ameshindwa kuvumilia wakati wa shida
 
pole na kilichokupata lakin upande wangu chukulia poa na uendelee nae wala ucmwambie chochte ni hatar je umezaa nae na hiyo mimba miez mingapi
 
Pole sana kaka... Mi nikwambie tu hapo huyo si mke wako tena cz tayari ameshabeba ujauzito wa rafiki yako. Jaribu kumsahau hata kama unampenda sana, endelea na maisha yako hasa kama umeshaanza kujaribu maisha mengine huko Arusha, nenda huko ukafanye maisha
 
Back
Top Bottom