bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,678
Ni jumamosi tena ya keshokutwa dunia itasimama ikishuhudia Mtanange wa kukata na shoka dhidi ya Timu yenye Ukuta wa chuma(Juventus aka kibibi kizee cha Turin) na Timu yenye Viungo Mafundi(Real Madrid).
Juventus Wataishangaza Dunia,Ni pale Cardif(Wales) Nyumbani haswa kwa Bale.
Jumamosi Sio mbali.
Juventus Wataishangaza Dunia,Ni pale Cardif(Wales) Nyumbani haswa kwa Bale.
Jumamosi Sio mbali.