Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Inaumiza sana kuona kuna watu wanaendelea kuwaheshimu wanasiasa hawa ambao leo hi tunaendelea kupata mateso kutokana na yale waliyotufanyia. haitoshi kuwasamehe ikiwa madhara yao yanaonekana mpaka hii leo.
1. Aliyeharibu mchakato wa katiba. huyu hakupaswa kuishi kwa amani hata kidogo na hata akifariki Mungu akamwangalie mateso aliyosababisha kwa tanzania hii. Pesa za watanzania nyngi zilitumika wakiwa na imani kupata suluhisho la kudumu la kuiongoza nchi hii. shetani mmoja akaja akauharibu mchakato huu mwishoni kwa maslah yake binafs. Yeye na watenda kazi wake wakafaidika na pesa za mchakato ule. Huyu mtu ni ibilisi katika mwili wa binadamu.
2. Aliyesababisha kashfa ya IPTL, ESCROW, EPA, RICHMOND, na ulaji wa Pesa nyingi za walipa kodi maskini hawa wakitanzania. Hawa watu wangechukuliwa wakachunwa ngozi halafu wakaanikwa wakiwa hai juani.Maana hawa ni wachawi. wachawi wakubwa ambao wanasababisha mama zetu wafe kwa kukosa huduma bora wakati wa kujifungua. Wanaosababisha watoto wetu wasipate lishe bora, wasipate elimu bora. Wateseke usiku na mchana. hawa ni wachawi,wajukuu wa shetani.
3. Shetani mwingine ni huyu anayetaka wastaafu hawa baba na mama zetu wasipewe pesa yao yoote. wapewe 25 tu halafu nyingine serikali ijizoe zoe kuilipa. Huyu ni shetani na wanaomuunga mkono watakuwa ni majini /mapepo/wachawi /washirikina. Huyu ni mtetezi wa wanyonge atakuwa mtetezi wa nafsi yake na watu wake. Na ninamwomba mheshimiwa rais amshughulikie huyu jini ambaye anataka wazazi wetu wateseke. Huyu aliyeleta proposal kama hili alipaswa naye achunwe ngozi abanikwe juani.ni mnyama. pesa za wazazi wetu, pesa zetu tumehangaika miaka yote hii tunakuja kupangiwa masharti ya kupewa?
Wapo wengine wengi ambao wanapaswa wachunwe ngozi na kubanikwa juani tena kipindi hiki cha kiangazi. unaweza endelea kuorodhesha matendo yao ya kichawi, ya kifisadi na kinyama kwa taifa hili.
1. Aliyeharibu mchakato wa katiba. huyu hakupaswa kuishi kwa amani hata kidogo na hata akifariki Mungu akamwangalie mateso aliyosababisha kwa tanzania hii. Pesa za watanzania nyngi zilitumika wakiwa na imani kupata suluhisho la kudumu la kuiongoza nchi hii. shetani mmoja akaja akauharibu mchakato huu mwishoni kwa maslah yake binafs. Yeye na watenda kazi wake wakafaidika na pesa za mchakato ule. Huyu mtu ni ibilisi katika mwili wa binadamu.
2. Aliyesababisha kashfa ya IPTL, ESCROW, EPA, RICHMOND, na ulaji wa Pesa nyingi za walipa kodi maskini hawa wakitanzania. Hawa watu wangechukuliwa wakachunwa ngozi halafu wakaanikwa wakiwa hai juani.Maana hawa ni wachawi. wachawi wakubwa ambao wanasababisha mama zetu wafe kwa kukosa huduma bora wakati wa kujifungua. Wanaosababisha watoto wetu wasipate lishe bora, wasipate elimu bora. Wateseke usiku na mchana. hawa ni wachawi,wajukuu wa shetani.
3. Shetani mwingine ni huyu anayetaka wastaafu hawa baba na mama zetu wasipewe pesa yao yoote. wapewe 25 tu halafu nyingine serikali ijizoe zoe kuilipa. Huyu ni shetani na wanaomuunga mkono watakuwa ni majini /mapepo/wachawi /washirikina. Huyu ni mtetezi wa wanyonge atakuwa mtetezi wa nafsi yake na watu wake. Na ninamwomba mheshimiwa rais amshughulikie huyu jini ambaye anataka wazazi wetu wateseke. Huyu aliyeleta proposal kama hili alipaswa naye achunwe ngozi abanikwe juani.ni mnyama. pesa za wazazi wetu, pesa zetu tumehangaika miaka yote hii tunakuja kupangiwa masharti ya kupewa?
Wapo wengine wengi ambao wanapaswa wachunwe ngozi na kubanikwa juani tena kipindi hiki cha kiangazi. unaweza endelea kuorodhesha matendo yao ya kichawi, ya kifisadi na kinyama kwa taifa hili.