chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
Wana jamvi, hivi vitu viwili mimi huwa vinanitatiza kuvielewa, kwamba kipi huwa ndo kichagizo Cha kingine kustawi na kuimarika.
Nimejaribu kufikiria kwenye level za kifamilia na level za ki nchi, lakini pia hata level za kiroho( Muumba na devil).
Kwenye level za kifamilia naweza nikawa na majibu kulingana na mm nataka familia yangu iweje, mfano kwangu Mimi Demokrasia huwa naipa asilimia 25%-45%,the rest percent 55%-75% ni dictatorial (au niseme kwa lugha nzuri nakaza).
kwa upande wa Imani,hapa pananivuruga pia, Ila concern yangu kubwa ni nchi, na ndo hasa nataka mnifungue ,nimejaribu kuyafikilia mataifa makubwa Kama USA ,RUSSIA , GERMANY,UK,CHINA,nk. haya mataifa kweli kwa Sasa yameendelea na kustaarabika kiuchumi n.k lakini swali langu haya mataifa ambayo kwa Sasa tunayaita super power au mataifa yaliyoendelea ,huko nyuma yaani kabla hayajafika hapo yalipo,ilikuwaje !? Je walianza kuwekeza kwenye Demokrasia ! mpaka wakafika hapo walipo!!! au kuendelea kwa mataifa Yao ndiko kumeifanya Demokrasia ya nchi zao iwe Bora na kukua !!?
nadhani Kuna haja Kama ,binadamu wenye utashi ,tuelimishane hapa,ili tujue tusimamie wapi,kwa kulenga kipi!! maana wanasiasa wanatuvuruga ,kwenye haya Mambo mawili , Demokrasia na maendeleo!!!
karibuni !!
Nimejaribu kufikiria kwenye level za kifamilia na level za ki nchi, lakini pia hata level za kiroho( Muumba na devil).
Kwenye level za kifamilia naweza nikawa na majibu kulingana na mm nataka familia yangu iweje, mfano kwangu Mimi Demokrasia huwa naipa asilimia 25%-45%,the rest percent 55%-75% ni dictatorial (au niseme kwa lugha nzuri nakaza).
kwa upande wa Imani,hapa pananivuruga pia, Ila concern yangu kubwa ni nchi, na ndo hasa nataka mnifungue ,nimejaribu kuyafikilia mataifa makubwa Kama USA ,RUSSIA , GERMANY,UK,CHINA,nk. haya mataifa kweli kwa Sasa yameendelea na kustaarabika kiuchumi n.k lakini swali langu haya mataifa ambayo kwa Sasa tunayaita super power au mataifa yaliyoendelea ,huko nyuma yaani kabla hayajafika hapo yalipo,ilikuwaje !? Je walianza kuwekeza kwenye Demokrasia ! mpaka wakafika hapo walipo!!! au kuendelea kwa mataifa Yao ndiko kumeifanya Demokrasia ya nchi zao iwe Bora na kukua !!?
nadhani Kuna haja Kama ,binadamu wenye utashi ,tuelimishane hapa,ili tujue tusimamie wapi,kwa kulenga kipi!! maana wanasiasa wanatuvuruga ,kwenye haya Mambo mawili , Demokrasia na maendeleo!!!
karibuni !!