Ni chakula gani hupendi, mimi sipendi ndizi za kupika

Ugali arrghh na uchukia huwa naula Mara moja au mbili kwa mwaka

Sent from my Z970 using JamiiForums mobile app
 
Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.

Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.

Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.


Mwanamme mwenye akili timamu hawezi kula ndizi as chakula.....ndizi ni snack ama tunda tu liliwalo baada ya mlo wa maana. Ndiyo maana wanaume wengi wanaokula ndizi wako legelege sana dizaini ya wanaume wa Dar. Nakuunga mkono kwa kutopenda ndizi we are together kwenye hili.
 
Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.

Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.

Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Nikijibu utaleta ninachopenda?

.... you can't convince, then confuse....
 
Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.

Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.

Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
we kama mimi maboko no
 
Sipendi kisamvu jamani japo kimenikuza. Hali duni ya wazazi wangu ilifanya kisamvu kuwa mboga yetu kuu. .as you know kisamvu ni evergreen. .
Aisee hakuna kitu kitamu kama kisamvu cha karanga, tena ule na wali. Halafu kilale ule kiporo kesho yake ni balaa.
Mi nadhani umekila sana mpk ukakinai..nakuelewa.
 
Mwanamme mwenye akili timamu hawezi kula ndizi as chakula.....ndizi ni snack ama tunda tu liliwalo baada ya mlo wa maana. Ndiyo maana wanaume wengi wanaokula ndizi wako legelege sana dizaini ya wanaume wa Dar. Nakuunga mkono kwa kutopenda ndizi we are together kwenye hili.
Ndizi iliyopikwa na nyama au maharage inakuwaje snack? Labda za kukaanga zinaweza zikawa snacks
 
Bahati nzuri sina chakula ninachochukia, inategemea na mapishi tu. Nakula kila kitu
 
Ndizi iliyopikwa na nyama au maharage inakuwaje snack? Labda za kukaanga zinaweza zikawa snacks


Still ni ndizi....huko kuweka nyama sijuwi maharage ni kulazimisha tu.....mtu mwenye akili timamu hawezi kula ndizi as chakula.....kupika ndizi kunaonyesha uvivu wa Mama zetu....tuache kuua nyani na wanyama wengine wanaokula hili tunda, tuheshimiane.
 
Back
Top Bottom