Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
sory mimi natafuta hii
Ndio hii ehh
sory mimi natafuta hii
yap naipenda sana ukiipika na kuku tamu sanaAtakua haijui, chungu chungu hivi
hapana hii lettuceNdio hii ehh
Tupo wteSipendiii maharaaageeeee heli nilale njaaa
Nakuunga mkono...Binafsi siupendi Ugali na haijalishi kuna mboga gani, nakula Ugali tu kama sina jinsi lkn siupendi na hata kama ukipigwa marufuku kwangu poa tu na kamwe siwezi kuumiss!
Labda ndizi Dodoma.ndizi gani? za bukoba au za mbeya au za kilimanjaro?
na za kupika na maharage au nyama au zipi unasemea maana ndizi zipo aina nyingi na mapishi tofauti tofauti kama viazi
Hiyo ni soft salad . lettuce iko kama cabbagehapana hii lettuce
Kua makini kwa kumpikia mala kwa mala mmewako,inasemekana sio nzuri kwa wanaume.yap naipenda sana ukiipika na kuku tamu sana
Ndizi zozote zile ili mradi ziwe za kupika hata mpishi azipike akiwa uchi sizipendi, ziwe za nyama au maharage sijui utumbo nk nk sizipendi.