wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
SaafiiiWaaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
SaafiiiWaaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
Wa kigoma/mwanzadagaa wepi...wa ziwani au baharini?
mchele au wale wa kigoma/mwanza???
we wakwetu niniChakul ambach mm ckpendi michembe cyapend xan
come on dagaaWa kigoma/mwanza
Wananichoma ulimi!!!come on dagaa
pole sana sisi wengine ndio msosi wetu huo.Wananichoma ulimi!!!
Tupo pamoja mkuu ndizi ya kupika siipendi kama nini! Ila mtori na chapati napenda saaaaaaaana!Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Daah, mie ugali nakula mwaka hadi mwaka...we nibadilishe mboga tu...Binafsi siupendi Ugali na haijalishi kuna mboga gani, nakula Ugali tu kama sina jinsi lkn siupendi na hata kama ukipigwa marufuku kwangu poa tu na kamwe siwezi kuumiss!