Kikubwa anapata anachotaka kwako huyo mchepuko (pesa na vitu vingine) haina tatizo mbona lol,Mbona unanihukumu ?? Mie nililijua hilo ndio sababu nikaamua kuchukua wa darasa la nne B, maisha yanaendelea ,
Hao ma degree holders ikitokea sanaa atapata hadhi ya mchepuko with no strings attached ,
So mtoto wako wa kike hutamsomesha ili awe wife material?Hata akiandaliwa akifika huko mjini na kadiploma kake atafundishwa upuuzi na hawa masingle maza
Kabisa yaaniWakuu
Kwa sasa kama unataka ndoa yako iishi achana na hawa modern women.
Wanaotaka haki sawa na wanaume, wabishi kwa waume zao kisa tu ana ka diploma ka business administration basi anataka kujiona sawa na mumewe .
Nawashauri basi ni bora utafute mwanamke ambae sio modern woman/feminist wanaotaka kukojoa huku wamesimama kwani itakucost sanaa.
Hata wafanyakazi wa ndani wanafaa sana kuolewa kwani wanatimiza majukumu yao ya ndoa kwa ufasaha
Hii inafanya hata waliowaoa wazidi kuwapenda na kuwatunza
Achana na hawa wa "siku hizi ni haki sawa"
Msiseme sikuwaambia
Sasa kama haya yote mnayajua na mnayafanya kelele hizi za nini? Kaeni kwa kutulia basi khaaaah.Tuwachukue mara ngapi mkuu,nina experience na wana vyuo maana nilikuwa nao huko na nilipatwa na pia mitaani wengi wanaugulia na wasomi.
Ukitaka wasomi ni aidha ukubari kuondoa dominance ya mwanaume au uwe na pesa twice yake na pia itategemeana maana ni shidaa,sas kuliko ligi ndani si bora Hg ukikohoa tu awe anashtuka.
Swali zuri hili, akikujibu nitag.So mtoto wako wa kike hutamsomesha ili awe wife material?
There you are, hiyo ndio rangi halisi ya wanawake wasomi wetu, pesa pesa pesa !!! Bahati mbaya pesa sio kila kitu. Wenye kujua kucheza na nyie wanawazalisha na kuwaacha mnalea by the time upo 40 thamani huna tenaKikubwa anapata anachotaka kwako huyo mchepuko (pesa na vitu vingine) haina tatizo mbona lol,
Hongera Sana MamaUkiona wanaume wanalalamika sana kuhusu wanawake ujue wewe bado mvulana ujawa mwanaume.Wanaume wanajua kukaa na aina zote za wanawake na sio wasichana.Kwa hiyo jamani wanaume makae na wanawake kwa akili na sio kwa kumchanbua sijui hafui nk.Fyndisheni watoto wenu wa kike na wakiume kuwa wanaume na wamama ili kila mtu asimamie majukumu yake.Mimi nimesoma nina PHD mume hana na sina house girl napika,nafua,napasi nk huu mwaka wa 20 sasa nina watoto mpaka wamefika chuo nao kila mmoja anamajukumu yake nyumbani na sina dada wa kazi wala kijana wa kazi sijui na nyumba inabustani,ina wanyama ,ina kila kitu.Nikujipanga tu na familia.Natamani niwe nafundisha watoto wakike jinsi ya kuwa submissive lakini kuendelea kuilinda heshima yako.Mwanamke tawala nyumba yako kwa usafi,chakula kizuri kwa familia (ikiwezekana pika kwa mikono yako miwili) nk.Huwa nikifika getini u bosi wangu unaishia nje na hakuna ndani mtu anajua mimi ni bosi sijui nini wanaona kwenye makaratasi tu na labda treatment ninazopata za ofisi ambazo wote tuna enjoy.Naishia hapo.
Dah, umeuwa!!!!!!Tatizo huanzia kwenye swali kwanini unaoa? Na unayemuoa naye ana swali kwanini anaolewa? Majibu ya haya maswali ndiyo yanaleta shida kwenu vijana wa kisasa.
KIJANA UNA DIPLOMA/DEGREE UNATAKA KUWA NA MKE USIFIWE UNA MKE MZURI ANA ELIMU HAPO HAPO UNAOA ILI UPIKIWE NA UFULIWE HAPO HAPO HUNA KAZI YENYE KIPATO CHA MAANA HALAFU UNATAKA KUWA MWINYI NDANI KUWA UKIKOHOA MKE APANDWE NA BP.
Asante, wanawake tuache viburi vizivyo na msingi. Kwenye masuluhisho mengi ya ndoa unakuta watu wengi hawajui kutumia muda wao vizuri. Ukigawanya 24 hrs toa 8hrs za kulala. Jamani unafanya mambo mengi sana ukiwemo kujiingizia kipato. Natamani nifundishe sana lakini muda pia wa ziada sina sana.Hongera Sana Mama
Hata uoe housegirl ukiwa weak utakimbizwa mchakamchaka.
Dawa ya mwanamke na mwanamke mwenzie.. K zimeisha nje huko hata ut.ombe gogo?🙄Ukiomba unyumba unaambiwa niko period wakati unajua kabisa hayuko period, ukifosi unaambiwa chomeka au weka, unapiga yeye yuko kimya kama kwamba umelala na gogo
Baadae, unaulizwa, umemaliza? Kidume unampelekea moto hata kama kwenye K ni pakavu, acha achubuke, atajijua mwenyewe! Wanakera sana
Mwanao wa kike usimpeleke shule, aje house girl/ mfanyakazi wa ndani ili apate Mume wa Kumuoa. Usikubali kabisa mwanao wa kike kuwa one of the Modern Women unaowaelezea hapo juu.Wakuu
Kwa sasa kama unataka ndoa yako iishi achana na hawa modern women.
Wanaotaka haki sawa na wanaume, wabishi kwa waume zao kisa tu ana ka diploma ka business administration basi anataka kujiona sawa na mumewe .
Nawashauri basi ni bora utafute mwanamke ambae sio modern woman/feminist wanaotaka kukojoa huku wamesimama kwani itakucost sanaa.
Hata wafanyakazi wa ndani wanafaa sana kuolewa kwani wanatimiza majukumu yao ya ndoa kwa ufasaha
Hii inafanya hata waliowaoa wazidi kuwapenda na kuwatunza
Achana na hawa wa "siku hizi ni haki sawa"
Msiseme sikuwaambia
Toooba🙄Mtu mwenyewe nakulisha nakuvisha unataka kunipanda kichwani? Umenizidi kwa kipi haswa labda babu wewe?
Ndio unajua leo hiiWakuu
Kwa sasa kama unataka ndoa yako iishi achana na hawa modern women.
Wanaotaka haki sawa na wanaume, wabishi kwa waume zao kisa tu ana ka diploma ka business administration basi anataka kujiona sawa na mumewe .
Nawashauri basi ni bora utafute mwanamke ambae sio modern woman/feminist wanaotaka kukojoa huku wamesimama kwani itakucost sanaa.
Hata wafanyakazi wa ndani wanafaa sana kuolewa kwani wanatimiza majukumu yao ya ndoa kwa ufasaha
Hii inafanya hata waliowaoa wazidi kuwapenda na kuwatunza
Achana na hawa wa "siku hizi ni haki sawa"
Msiseme sikuwaambia
Umefunga uzi broNdoa haiwezi kudumu hata siku moja ikiwa 50/50. Mke anatakiwa kuwa Submissive (Mnyenyekevu) kwa Mume wake, kwa sababu asili ya Mwanaume ni Dominance (Kutawala).
Na ifahamike kuwa hakuna utawala wowote Duniani unaokubaliana na ubishi/upingamizi wa ndani. Yani Mfano MwanaCCM apinge hoja ya Magufuli. Nafikiri mnajua kitakachofuata. Yatamkuta kama yaliyomkuta Membe. Hata Trump nadhani mliona alichokua anawafanyia republicans waliokua wanaonesha kupishana naye (anawafukuza kazi).
Sasa nirudi kwenye point. Ina maana kumbe ili Dominance ifanye kazi, lazima mtawala awe juu ya anaowatawala kimamlaka, kimaamuzi na kimkakati. Sasa ikitokea unaemtawala yuko 50/50 na wewe ina maana muda wowote anakupindua. Na ndio kinachotokea sasa hivi kwenye mahusiano mengi. Demu akishaanza kuwa mbishi mbishi, lazima Mwanaume amuone threat kwenye Dominance yake. Na tunachofanya wanaume ndicho kinachofanywa na watawala wote Duniani. To get rid of threat! Yes, tunakuepuka kwa gharama zozote zile hata kama ni kukuachia mtoto.
La mwisho, Ni vizuri Mwanamke ukajua nafasi yako kwa Mumeo,
"Kumsaidia yeye kufikia Malengo yake na kuhakikisha hajikwai katikati ya Safari"
Ukiyasimamia hayo hapo juu kwa moyo wako wote, hakika mahusiano yenu yatadumu. Lakini ukishaanza egoistic hashtags za #iChasemyOwnPaper #myLifemyChoices #QueenOfmyOwnEmpire; utabaki na hizo "My" zako.
P.S. Nimelenga zaidi wanawake wanao amini katika Ndoa au wanaotamani kudumu na wenza wao katika mahusiano. Nyie wa haki sawa na 50/50, subirini bandiko lenu siku nyingine.
Bulalifuuuuuu!