Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Kiukweli hayo mambo ya kunuka naona yanatokana na maumbile ya mtu haijalishi unaoga sijui masaa 7 or only 15 minutes......Curious hunuki dadaangu, natania tu .Ila kama upo vzr ktk suala usafi hebu karibu kushare na wenzako maujuzi ya jinsi yakujitambua ktk suala la usafi.
Nachojua msichana akiwa ananuka huko chini basi atakuwa na magonjwa ambayo yanapelekea kutoka kwa harufu na uchafu
So kama kuna msichana ananuka huko chini the best solution ni kwenda kuonana na gynocologist.....so nakushauri umwambie girlfriend wako afanye hivo kama kweli unampenda