Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,095
factMapenz huwa na tabia ya kujengwa Huyo unayesema humpendi ukiwa nae anaweza kukufanya umpende hadi utajishangaa unataka kumuoa
Kuwa makini tongoza demu mkali hata kama humpendi huwezi jua kesho yako
huta juaUkipenda utaumia sana usipende...
121.
Mi binafsi nimeona ni bora kumtongoza yule usiyempenda. Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari apunguze au akate kabisa urafiki endapo atanikatalia.
Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari sitakuwa tayari kuona ananisaliti endapo atanikubalia ila nisiyempenda yeye afanye chochote kile mimi poa nikitaka show napiga akizingua poa siku akijileta nakula kimasihara
Namimi namuongezea 2Dhaaa agiza chochote nalipa mkuu
stidy
😂😂 sawa mzeehiyo haiwezi kutokea kwangu aisee
Ongeza sauti
gg au jp?Ushawahi kubeti?
hahaha... kwahiyo bora nn kupenda au kupendapendaNimetumia sana mbinu yako asilimia 90 ya wanawake niliowatongoza nilikuwa siwapendi ila chakushangaza unajikuta tu una fall in love,mapenzi ni sumu ya panya haijaribiwi kwa kuonja
Sent using IPhone X
bttsgg au jp?
Dah! 10??! bora itangazwe siku ya kutongoza dunianiMimi huwa naweka Madem kumi wa kuwatongoza kwa siku na haijawahi tokea wote wakabwaga, na kuna wakati huwa wote wanakubali alafu baada ya hapo sasa ndio huwa nachuja mchele na chuya
bora umesema wewe mkuu...Hapana ni uhasilia
Legendary....Mapenz huwa na tabia ya kujengwa Huyo unayesema humpendi ukiwa nae anaweza kukufanya umpende hadi utajishangaa unataka kumuoa
Kuwa makini tongoza demu mkali hata kama humpendi huwezi jua kesho yako
NdioUshawahi kubeti?
TehLegendary....
Kweli jamaaa, hata mimi ilinitokea hio, nilikua na demu namuona kama katuni tu... Ndugu yangu sasa hivi nashindwa kumuacha na nina mpango wa kumuoa... Sijaamini mpango huu ila natamani kumuacha ila moyo hautakiMapenz huwa na tabia ya kujengwa Huyo unayesema humpendi ukiwa nae anaweza kukufanya umpende hadi utajishangaa unataka kumuoa
Kuwa makini tongoza demu mkali hata kama humpendi huwezi jua kesho yako
elaborate mkuu, nmepata mwanga kidogo ila bado sijaipata maana kamili unayoimaasha.. if u may, please weka kinagaubaga.Nevet put a woman on the pedestal. Hili wanawake wazuri wanalijua vizuri kulitumia for their own benefit.