jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,482
- 11,501
mkuu milioni 600 na anataka nyumba ya vyumba kumi au gari aina ya benzi
Mtu mwenye million 600 hawezi uliza maswali za kijinga kama hizi
mkuu milioni 600 na anataka nyumba ya vyumba kumi au gari aina ya benzi
mkuu kachukua milioni 600
mkuu kachukua milioni 600
Nlitaka kumuuliza amechukua mkopo wa sh ngapi? Kama hivi vimkopo vyetu vya mil 6 mpaka 10 sidhani kama anaweza kujenga nyumba,namshauri kama anataka gari anunue kwanza viwanja kwa hela hiyo yote hata kama vitatu sehemu tofauti tofauti,ikipita miaka miwili auze kimoja anunue gari,kingine auze ajengee nyumba kwenye kiwanja cha tatu.
Mo Dewji ana malori sii chini ya 500 na bado anakopaAcha maskhara wewe mkopo wa nini wakati una scania 100?
Nlitaka kumuuliza amechukua mkopo wa sh ngapi? Kama hivi vimkopo vyetu vya mil 6 mpaka 10 sidhani kama anaweza kujenga nyumba,namshauri kama anataka gari anunue kwanza viwanja kwa hela hiyo yote hata kama vitatu sehemu tofauti tofauti,ikipita miaka miwili auze kimoja anunue gari,kingine auze ajengee nyumba kwenye kiwanja cha tatu.
Jamani kuna jamaa yangu kapata pesa ya mkopo sasa kanifuata nimshauri je ajenge nyumba au anunue gari? Wakuu karibuni kwa ushauri zaidi
mkuu kachukua milioni 600
Jamani kuna jamaa yangu kapata pesa ya mkopo sasa kanifuata nimshauri je ajenge nyumba au anunue gari? Wakuu karibuni kwa ushauri zaidi
habari ya honeymon?
Mwambie anitafute nimpeleke baa yenye madem wazuri!
Mwambie anunue VOGU aweke heshma mjini. Nyumba atarithishwa na baba ake
Atekeleze vyote kitakachokuwa na umuhimu sana kwake akiache na kisicho kuwa na umuhimu akipige chini!
namshauri aanze na gari litampanua akili kwani lina chakula chake cha kila siku mafuta na totoz za chuo. apo ataondoa ukilaza. nyumba! kwani siku zote analala wapi.