Ni bora kumiliki gari au nyumba?

Ni bora kumiliki gari au nyumba?

Jamani kuna jamaa yangu kapata pesa ya mkopo sasa kanifuata nimshauri je ajenge nyumba au anunue gari? Wakuu karibuni kwa ushauri zaidi

Nyumba haitembei. Huwezi ifanya gari makazi ya kudumu. Nashangaa watu hulinganisha nyumba na gari. Nyumba ni nyumba na gari ni gari...
 
Hii kaili.Ina maana wasio na magari hawapandi magari au??
Wengi wanatembea kwa miguu, ni rahisi kumuona mtu anatembea kwa miguu kwa kukosa
usafiri lakini si rahisi sana mtu kulala nje eti hana nyumba.
 
Jamani kuna jamaa yangu kapata pesa ya mkopo sasa kanifuata nimshauri je ajenge nyumba au anunue gari? Wakuu karibuni kwa ushauri zaidi

Kapata mkopo sh.ngap?anafanya kaz eneo gana na anakoishi?Je ana kiwanja tayar?Anafanya kaz za kuzunguka au kukaa ofsn?Ukisema haya yote tutajua namna ya kumshauri
 
wengine wanaona upuuzi kuanza na nyumba, kwao ni vyema wawe na gari. lkn suala zuri ni hili ni vyema kuanza na nyumba. Jiulize je wazee vijijini walianza kununua baiskeli au kujenga? Chukua hatua.
 
quote_icon.png
By mgt software

namshauri aanze na gari litampanua akili kwani lina chakula chake cha kila siku mafuta na totoz za chuo. apo ataondoa ukilaza. nyumba! kwani siku zote analala wapi.

ushauri mwingine bana!
Du hata mm nimeshindwa kuchangia
maana jamaa ana 600,000,000.00 hata gari mkoko la kuzibeba hizo hela hana
basi ni bora zimpanue akili maana ni zezeta tu huyo hahahaaaaaaaah
 
achukue mfano wangu.nimeweka nyumba nimepata mkopo.sasa nimenunua gari natesa mtaa mzima.anunue CHOMBO aondoe nukusi kwenye ukoo.
 
achukue mfano wangu.nimeweka nyumba nimepata mkopo.sasa nimenunua gari natesa mtaa mzima.anunue CHOMBO aondoe nukusi kwenye ukoo.

hebu elezea vizuri. umesema umeweka nyumba dhamana ukachukua mkopo ukanunua gari na sasa unatesa mtaa mzima???? utaniumiza mbavu bure. Au labda umenunua yutong au marcopolo au fuso? lakini haya usingeweza kutesa nayo mtaani, hayajatengenezwa kwa ajili hiyo.
 
mwambie atafute alteza kali atagonga kila demu mkali mjini hadi hawa wakina shilole na wema sepetu atawapata
 
Back
Top Bottom