Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Kwenye hiz Moshe kikubwa ni kuwa na wazo qonk ......na kufanya investigation ya kutosha kuhusu kitu unachotaka kukifanya

Then kumpata mtu sahihi wa kusimamia project zako
Mfano mm npo chuo mwaka wa kwanza hapa Mbeya town. Baada ya kumaliza form six nlifanya kautafiti kidogo niliona hapa town nyama inatumika kwa kiasi kikubwa so na broo angu tuli plan kuanza ufugaji wa nguruwe ambapo tulichanga pesa tukanunua mkubwa then. Navoingia first year nguruwe alizaa vitoto 11 ..mwez wa tatu ..na tuliamua kufuga vyote then mwez wa saba huu tumepiga pesa heavy kila mtu kashika zake mfukoni

But from mwakan nta expand naanza kufuga vidume vya ng'ombe wa kisasa ....

Pumba + plus mashudu ndan ya miez minne. Unapga pesa ndefu

Kikubwa ......Fanya research na umpate mtu wa kusimamia .....lkn pia uwe karibu na project zako. Thats y chuo nlichagua karibu ili kuendleza projects. Zangu
 
Sasa mkuu wewe unaleta utani na maisha watu tupo mtaani tumepigika, siunaona mtu kaanzisha uzi kama hivi! Maana yake anahitaji msaada, pia wengine wanafaidika kupitia michango ya mawazo inayotolewa,
Luckdube Wewe Muungwana!

nimejisikia vibaya sana! Umeongea kwa unyonge pia kwa ukweli

Tupo hapa kusaidiana

MUNGU atatuonyesha njia wote tutafanikiwa!

Amina!
 
Kwa aliewahi Fanya biashara ya maziwa fresh , mtindi.
Naomba mwanga wa hii biashara, nataka nifungue maeneo ya GoBa centre (Dar) kama ni watu wapo. . shida sijafahamu Kama huko makwao wanafuga mang'ombe ikadhiri wazo langu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maziwa naona bua wanatoa mikoani,hasa wanayachukulia ubungo,nimesahau namna ya uchukuaji Ila ubungo asubuhi ukktia timu hope ukifsnys utafiti utapata kitu
 
Ni ukweli mkuu million 3 haziwezi kutosha kwa biashara ya stationery. Ukianzia kwenye photocopy Machine hadi kwenye vitendea kazi vingine inakuja pesa nyingi tu, labda ujibane utafute vitu used/ second hand.

Na kama unataka kupanga kwenye mzunguko mkubwa wa watu, kodi ya fremu nayo huwa kubwa.

Yawezekana mtu akaanza kwa hiyo 3 mil lakini si kwakutoa huduma zote zinazopatikana stationery.
Quotation ya biashara ya Stationary
1.Photocopy mashine mpya CANON 2025 2,500,000/=
2.Computer Set at least used core i3 550,000/=
3.Printer Epson L805 all in one 850,000/=
4.Laminator A2, A3 , A4. 250,000/=
5.Binding mashine 150,000/=
6.Paper cutter. 45,000/=
7.Steppler kubwa na ndogo 55,000/=
8.Paper Punch 50,000/=
9.Simple table 1pc. 100,000/=
10.Simple chair for customers 3p 60,000/=
11.Calculator, Scissors,Glue,. 55,000/=
12.Paper rim A4 1pc. 45,000/=
 
Kulala na wake za watu haswa wajane huku wakinilipa. Hi ilikuwa ni ajira yangu kabisa kwani nilikuwa natoka nyumbani asubuhi na mapema nikimuaga mke wangu kumbe sikuwa na kazi ya ofisini bali nilikwenda nyumba za watu kulala na kucheza mayeno na wake za watu. Kila niliporudi nyumbani nilihakikisha narudi na zawadi za watoto.
 
Watu tunapotezana, biashara ya mtaji mdogo eti mtu anakwambia stationary kweliiiiii?!

Biashara ndogo ni za mitaji isoyozidi laki, na hiyo laki iwe isha cover mahitaji ya biashara vikorokoro vyote.

Mfano mzuri ni picha iliyosindikiza hii thread, kuuza mahindi.

Jiko 15,000
Mkaa 5000
Mahindi 15000
wavu 7000
nk nk 10000

Ukipga total hapo hata laki hufikishi. Hizo ndio biashara ndogo tunazotaka kusiona kwenye hii thread.

Mtu anakwambia alikua anabetisha anabetishia watu mpk mkeka wa laki 3 na ana mashine mbili hivi hiyo ni biashara ndogo kweli!?

Hebu tujue tofautisha biashara ndogo na Biashara za wenye pesa wanazozifanya kwa udogo.

Nategemea kukutana na wauza mishkaki humu
wauza mahindi
wauza pweza
wauza karanga
wauza maji ya kandoro
wauza skrepa
wauza chupa za maji
nk nk nk

Nategemea kukutana na watu wa aina hyo ila nyie wengine mnatupoteza tu hapa mna hela kabisa tena muache ita biashara zenu ndogo maana mitaji tu mliyowekeza hapo wenzenu tunaimezea mate.

Naomba waliofanya biashara anazozimaanisha mleta thread muendeleee kuteremsha mambo, nyie wengine kausheni tu Thread hiii nategemea iwe na nondo ambazo atae ingia apate hamasa ila sio nyie mnaotutajia biashara za mamilioni mnatuambia et ni ndogo.
 
Watu tunapotezana, biashara ya mtaji mdogo eti mtu anakwambia stationary kweliiiiii?!

Biashara ndogo ni za mitaji isoyozidi laki, na hiyo laki iwe isha cover mahitaji ya biashara vikorokoro vyote.

Mfano mzuri ni picha iliyosindikiza hii thread, kuuza mahindi.

Jiko 15,000
Mkaa 5000
Mahindi 15000
wavu 7000
nk nk 10000

Ukipga total hapo hata laki hufikishi. Hizo ndio biashara ndogo tunazotaka kusiona kwenye hii thread.

Mtu anakwambia alikua anabetisha anabetishia watu mpk mkeka wa laki 3 na ana mashine mbili hivi hiyo ni biashara ndogo kweli!?

Hebu tujue tofautisha biashara ndogo na Biashara za wenye pesa wanazozifanya kwa udogo.

Nategemea kukutana na wauza mishkaki humu
wauza mahindi
wauza pweza
wauza karanga
wauza maji ya kandoro
wauza skrepa
wauza chupa za maji
nk nk nk

Nategemea kukutana na watu wa aina hyo ila nyie wengine mnatupoteza tu hapa mna hela kabisa tena muache ita biashara zenu ndogo maana mitaji tu mliyowekeza hapo wenzenu tunaimezea mate.

Naomba waliofanya biashara anazozimaanisha mleta thread muendeleee kuteremsha mambo, nyie wengine kausheni tu Thread hiii nategemea iwe na nondo ambazo atae ingia apate hamasa ila sio nyie mnaotutajia biashara za mamilioni mnatuambia et ni ndogo.
Mkuu kuna dada anitwa Queen of sheba unampata?
 
Back
Top Bottom