kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,569
- 1,714
Duh ungefunguka mkuuUalimu wa watoto wa international schools tu (sio NECTA). Mtaji ilikuwa 400,000 kwa ajili ya matangazo ya awali. Tulifanya mauzo ya kama mil 20 katika kipindi kile.
Magroup ya Whatsapp. Mtaji simu na matangazo ya FB. Tulitumia kama 50k (niligundua njia ya kupata matangazo ya FB kwa almost free mwaka 2015). Tulianza mauzo 2016 June na tuna zaidi ya mil 150 mpaka sasa.