Kuna vijana wamejiajiri hapa mitaa ya sokoni karibu na kituo cha bajaji na bodaboda wao wanatengenza vitafunwa Waha hawa jamaa ,andazi 200,chapati 500,bagia 100,donati 300..kila muda wako busy .Acha kijana aseme hakuna mishe Ila vikazi vya kupata 20 Kwa siku vingi Sana ni vile tu