Anza kutoa huduma ya kuwanyoa watu sehemu za siri, makwapani na vifuaniNimefungua biashara ya kunyoa yaan kinyozi
Siyo berbershop bado haina hadhi hiyo
Lakini naona mauzo madogo je naweza nikaongeza biadhara gan hapo ili iwe inabust??
Watalamu wa biasharaView attachment 2861110
huzuni wakati biashara inalipaMkuu,,,, si poa kwakweli
Ni huzuni kwa kweli
vitu vingine bhana basi auze na panton meli na mabotPembeni yako weka na Uza magari mapya kutoka japan! Ongeza na matrakita na vichwa vya train! Utapiga hela ndefu! Bila kusahau vifaru!
Wenzako ndio wanajiongeza hivyo. Pitia huuMkuu,,,, si poa kwakweli
Ni huzuni kwa kweli