edxxon methods
Member
- Apr 3, 2016
- 5
- 2
Habarini wana forum,
Mimi ni mfanyabiashara. Nipo kwenye kundi la wafanyabiashara wadogo kwani nina duka linauza vifaa vya umeme, hasa umeme wa solar. Ninauza battery ya solar, solar panels, lantern, taa, nyaya, Radio na TV zinazotumia umeme wa solar, pasi za solar, na vifaa vingine vya umeme.
Duka lina vibali vyote yaani TIN, Leseni ya biashara na mkataba wa flame. Duka lina mtaji wa kama million 10. Ninahitaji kukuza biashara yangu kwa kuongeza baadhi ya vitu dukani kwangu. Naombeni kuuliza ni Bank gani hapa Tanzania inatoa mkopo kwa mfanyabiashara mdogo kama mimi ambaye hamiliki nyumba?
Ninahitaji sana mkopo ila kila bank ninayoenda naambiwa niwe na mali isiyohamishika kama nyumba au shamba. Tafadhari naombeni mnisaidie kujua ni bank gani inaweza kunipa mkopo kwa masharti mengine pasipo hilo la nyumba? Sina/similiki nyumba nimepanga.
Ninaishi Mbeya mjini nipo soko la SIDO
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mfanyabiashara. Nipo kwenye kundi la wafanyabiashara wadogo kwani nina duka linauza vifaa vya umeme, hasa umeme wa solar. Ninauza battery ya solar, solar panels, lantern, taa, nyaya, Radio na TV zinazotumia umeme wa solar, pasi za solar, na vifaa vingine vya umeme.
Duka lina vibali vyote yaani TIN, Leseni ya biashara na mkataba wa flame. Duka lina mtaji wa kama million 10. Ninahitaji kukuza biashara yangu kwa kuongeza baadhi ya vitu dukani kwangu. Naombeni kuuliza ni Bank gani hapa Tanzania inatoa mkopo kwa mfanyabiashara mdogo kama mimi ambaye hamiliki nyumba?
Ninahitaji sana mkopo ila kila bank ninayoenda naambiwa niwe na mali isiyohamishika kama nyumba au shamba. Tafadhari naombeni mnisaidie kujua ni bank gani inaweza kunipa mkopo kwa masharti mengine pasipo hilo la nyumba? Sina/similiki nyumba nimepanga.
Ninaishi Mbeya mjini nipo soko la SIDO
Sent using Jamii Forums mobile app