SACCOS ndo mkombozi kwakweliBenki karibia zote ni vichomi but usije ukajichanganya ukaenda microfinance banks and microfinance institutions ,nenda commercial banks kubwa eg NMB,CRDB,AZANIA etc but ukombozi wa riba ni kuwa na strong Saccos ambambo riba mnajipangiwa wenyewe
Mkuu naomba unipe ufafanuzi zaidi hapa. Saccos kwanini ni Bora? Nimependa ulivyo tanabaisha.Benki karibia zote ni vichomi but usije ukajichanganya ukaenda microfinance banks and microfinance institutions ,nenda commercial banks kubwa eg NMB,CRDB,AZANIA etc but ukombozi wa riba ni kuwa na strong Saccos ambambo riba mnajipangiwa wenyewe
Kwanza kama wewe ni memba masharti siyo mengi kama masharti ya mabenki pia riba za saccos nyingi ni ndogo kuliko riba za benki ,Note kiasi cha mkopo kinategemeana na taratibu za saccos husika pamoja na uwezo wake .Mkuu naomba unipe ufafanuzi zaidi hapa. Saccos kwanini ni Bora? Nimependa ulivyo tanabaisha.
SACCOS ndo mkombozi kwakweli