Ni asilimia 10% tu ya wanawake duniani wenye Anorgasmia

Ni asilimia 10% tu ya wanawake duniani wenye Anorgasmia

iamallymtambo

Senior Member
Joined
Dec 25, 2014
Posts
127
Reaction score
47
Kwa kuanza ngoja nielezee neno Arnorgasmia, ni uweza wa mwanamke kufikia kileleni.

Ukweli Asilia:

- Mwanamke kamili huwa anafika kileleni kwa njia ya kufanya mapenzi (Not oral sex)

- Kama mwanamke hawezi kufika kileleni kwa njia ya kufanya mapenzi basi mwanaume wake sio skillful lover

- Mwanamke lazima afike kileleni ili afuraie kufanya mapenzi

------------------------------------------------------------------------------------------
Vitu vya kufanya wakati wa kufanya mapenzi ili kufanikisha zoezi
Relax, Communicate, Encourage, Enjoy, Fantasize, Arouse
 
Mmmmh may be am not a skillful lover to my wife.
 
Mmmmh may be am not a skillful lover to my wife.


Kwani bado mkeo anataka kupigwa dyudyu mara nyingi...? I thought ulishapata ufumbuzi wa tatizo lako..
 
10% tu!? Basi kama ni tatizo la wanaume ni wazi tumekuwa wavivu......!! Citation ya tafiti yako please ili nipate kubukua zaidi nijue ni sisi wanaume au wanawake wanaochangia tatizo hii!
 
Ni kweli, wanawake wengi hawapigi mabao.

Hili ni suala linalo mhusu mwanaume moja kwa moja. Unapo fanya mapenzi usiconcentrate na idadi ya mabao utakayo mpiga, bali concentrate na mabao atakayo piga mpenzi wako.

Ukimuandaa vizuri, lazima apige bao, na usiwe wa ukitia kichwa tu bao, kata kiuno vizuri, lazima akojoe na ataongea siri zoooooooote alizo nazo, na utafurahia na kujiona kidume wa ukweli.
 
Linapofanyika lile tendo mwanamke hawezi kufika kileleni mwenyewe, lazima juhudi za mwanaume zifanye kazi. Kama mwanaume mvivu au hana mbinu za kufanikisha hilo halitatokea. Ubunfifu wa wote wawili ni muhimu hususan mwanaume.
 
wanawake wa siku hz inahtaj nguvu ya ziada kuwafikisha kileleni. Uwezo wao wa kufika uko mbali sana
 
Toba! Hivi kumbe inatakiwaga hivyo... yeuwiii sasa inatokeaje na mume mwenyewe wa watu naiba? kibochaaa hata awe wako na mfukoni kapuku itakuja kweli hiyo mautamu sijui kilelee au ...???
 
Toba! Hivi kumbe inatakiwaga hivyo... yeuwiii sasa inatokeaje na mume mwenyewe wa watu naiba? kibochaaa hata awe wako na mfukoni kapuku itakuja kweli hiyo mautamu sijui kilelee au ...???

Huwa inatokea automatic tu, mwanamke lazima apige kelele tu anapo piga bao, wapo wanao lia mchozi kabisa kwa furaha.
 
Huwa inatokea automatic tu, mwanamke lazima apige kelele tu anapo piga bao, wapo wanao lia mchozi kabisa kwa furaha.

inaonekana shule ulikuwa mzuri wa kukariri lakini pia mzuri wa kufanya hasty generalization.
 
inaonekana shule ulikuwa mzuri wa kukariri lakini pia mzuri wa kufanya hasty generalization.

Maoni yako tu hayo.

Kukariri ni kawaida, mfano, herufi na maneno tunayo yatumia tumekaririshwa tu, hakuna uelewa.

Au neno MYCOPHYCOPHYTA ukiwa form one, ulilielewa au ulilikariri?

Siwezi kufanya generalization bila kupitia maandiko, kuna vitabu vingi nnavisoma na nmesha visoma, na nnauzoefu wa kutosha.
 
Back
Top Bottom