Habari wadau!
Kuna wimbi la madereva wa magari aina ya Land Cruiser kutanua barabarani huku wakiwasha vitaa vya vimwelu mwelu kuashiria wapishwe. Je, huu ni utemi? Na je, kina nani kwa miaka ya sasa wanaoruhusiwa kupishwa bila kuwekwa pembeni na trafiki polisi?
Au ndio " unanijua mimi nani" wameanza kurudi?
Kuna wimbi la madereva wa magari aina ya Land Cruiser kutanua barabarani huku wakiwasha vitaa vya vimwelu mwelu kuashiria wapishwe. Je, huu ni utemi? Na je, kina nani kwa miaka ya sasa wanaoruhusiwa kupishwa bila kuwekwa pembeni na trafiki polisi?
Au ndio " unanijua mimi nani" wameanza kurudi?