ngumba njeche Senior Member Jan 22, 2017 184 146 Mar 26, 2017 #81 Hili ni shirika ila adi leo mitambo mibovu sana na wanaegemea upande 1 tu awana jipya wamepitwa mbali sana na TV1
Hili ni shirika ila adi leo mitambo mibovu sana na wanaegemea upande 1 tu awana jipya wamepitwa mbali sana na TV1
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,019 16,451 Oct 11, 2018 #83 Mbona UBC Uganda na Rwanda TV wanaoneshaga timu zao za taifa zikicheza? Kuna nini nyuma ya pazia.?
gemmanuel265 JF-Expert Member Feb 16, 2016 8,485 18,045 Oct 11, 2018 #85 Bado mnahangaika kuangalia TV kitangi?