Ni aibu TBC1 kutorusha mechi za Timu ya Taifa. Uzalendo wenu upo wapi?

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
5,211
4,170
Nijambo la Kushangaza sana kwa shirika letu la utangazaji Tanzania TBC1.

Kwa kushindwa kuwapa watanzania fursa ya kuona matangazo ya moja kwa moja pindi Timu yetu ya Taifa inapocheza.

Tofauti na Wenzetu wa Kenya,Uganda,Rwanda, na Zanzibari.

Sasa najiuliza ikiwa chombo hiki tunakilipia kodi zetu na kinaendeshwa kwa kodi zetu kinashindwaje kutimiza wajibu wake kwa wananchi?

Ni jambo la haibu kuona shirika hili lina bagua mambo ya kuonyesha.

Linajikita kuonyesha mambo ya serikali LIVE Lakini linashindwa kuwapa watanzania mechi za timu yao ya Taifa LIVE??

Hapa nadhani kauli ya Mh Rais kwamba vyombo vya habari viwe na Uzalendo, nadhani TBC1 Wangeanza kuonyesha njia ya kuanza kuwa wazalendo Mnatukera sana wananchi.
 
Nijambo la Kushangaza sana kwa shirika letu la utangazaji Tanzania TBC1.

Kwa kushindwa kuwapa watanzania fursa ya kuona matangazo ya moja kwa moja pindi Timu yetu ya Taifa inapocheza.

Tofauti na Wenzetu wa Kenya,Uganda,Rwanda, na Zanzibari.

Sasa najiuliza ikiwa chombo hiki tunakilipia kodi zetu na kinaendeshwa kwa kodi zetu kinashindwaje kutimiza wajibu wake kwa wananchi?

Ni jambo la haibu kuona shirika hili lina bagua mambo ya kuonyesha.

Linajikita kuonyesha mambo ya serikali LIVE Lakini linashindwa kuwapa watanzania mechi za timu yao ya Taifa LIVE??

Hapa nadhani kauli ya Mh Rais kwamba vyombo vya habari viwe na Uzalendo, nadhani TBC1 Wangeanza kuonyesha njia ya kuanza kuwa wazalendo Mnatukera sana wananchi.

Hata BBC sijaona wakirusha mechi za England.
 
Mkuu Prince Crown, hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini tulianzisha TBC 2?. mimi mpaka leo cjui hiyo tbc 2 achilia mbali tbc 1 ambayo imejikita kuonesha chereko
.ina kazi gani..
 
kwa sasa TBC muda wote ni kumrusha jpm.yaani tbc inakera kwa kweli. yule mkurugenzi wake kashaufyata....
Mkuu Ndiyo Mambo haya Tunayo ya Lalamikia Kwamba Kuwe na Ulingano.

Siyo Kubagua Kipi Uonyeshe na kipi Usionyeshe, Tv hii ni yetu wananchi na Tunahaki ya Kulalamika hasa pale tunapoona hawatutendei Haki wananchi.

Kurusha matangazo ya Serikali LIVE Siyo Dhambi ila na kwengine wafanye hivyo siyo kujikita kwa serikalitu.
kuna mambo mengi ya msingi kuliko hiyo timu inayo cheza na under 20
 
Uli tune ya nini mpaka ukaona hawaoneshi mpira?

Kutune hiyo Tv kwanza itakufanya kupoteza Furaha yako ya Siku pia ni matumizi mabovu ya King'amuzi.
Kaka huwezi kususia hela yako. Chombo hiki kinaendeshwa kwa hela za watanzania hivyo ni mali yako na unahaki ya kusema wanavyofanya ndivyo sivyo.
 
Msitughasi ghasi bhana... si tuliwarushia maadhimisho ya mwaka mmoja ya mkuu wenu wa mkoa mumpendae bwana Daudi Albert Bashite?! Mbona hamridhiki?! Na pia tukawajuza pongezi za Trump kwa Baba Mtakatifu Sizonje... nayo haitoshi?!
 
Azam wakirusha inatosha sana.
Baba siyo Watanzania wote wanauwezo wa Kumiliki kingamuzi cha Azam Kulingana na Gharama zao zipo Juu Sana.

Ila TBC wapo hata kwenye vingamuzi vya Bei zilizo Rafiki kwa watu wa Ali ya chini kabisa.

Na Mimi nawazungumzia hao Ambao wananyimwa Burudani na TBC1
 
Mkuu Prince Crown, hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini tulianzisha TBC 2?. mimi mpaka leo cjui hiyo tbc 2 achilia mbali tbc 1 ambayo imejikita kuonesha chereko
.ina kazi gani..
Mkuu Hapa hata Mm Umenitoa Tongo tongo Teh Tehe Tehe.
 
Kwa kweli TBC1 imekosa mvuto kabisa maana sikumbuki lini nilitazama yaani imekuwa kama shule za secondary za serikali zilivyokosa mvuto mtt amefauli vzr lakini uthubutu kumpeleka Government school wapi Iliboro,old Moshi and so on ili heshima irudi mabadiliko ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom