Ni aibu sana mke, mume na watoto familia moja wote kuwa facebook

Turudi kwenye mambo ya ndoa sasa, unakuta mume akipost kitu fb, mke ana-like au kucomment kiroho safi tu. Au wakati mwingine vice versa is true.

Kweli umeoa /umeoa na unamwona mwenzio Facebook na bado tu unajisikia amani??Duh.

Bora mmoja awe fb, mwingine asiwepo kabisa. Ni heri awe anadeal na JF tu kuliko kukutana na mke/mume wako fb. Watoto nao wako fb.Kazi mtindo mmoja.

Tubadilike jamani,fb siyo nzuri sana.
mm sion tatzo coz watu wanatumia as social networks kucommunicate na friends wake so ww kama mme/mke kuchangia mijadala kuna tatzo kwan???

mme/mke kajipiga pics yuko ofisin kapost ww umeiona ukaipenda uka like kuna tatzo hapo au ulitaka kila pics ije kwako uisifie ndo aweze kuipost??
 
Back
Top Bottom