Mbona sisi tusioamini kabisa hatukupewa nafasi hatujalalamika japo tupo wengi sana ukifananisha na nyie waislam?
Hizi ndio nchi za Kiarabu? Hata aibu huoni, Kama hujui bora kukaa kimya tu.Nchi za Uarabuni ambazo ni Secular States ni
1. Turkey
2. Kazhkstan
3. Kyrygzstan
4. Tajikistan
5. Uzebekstan
.........zipo na nyingine ambazo zijazimention hapa. Source yangu ni hii. Islam and secularism - Wikipedia
Haya , jibu swali langu sasa
Aisee....Hizo sio nchi za kiarabu au sio!! Turkey wanakaa watu gani?Hahahaha umenichekesha sana tangu lini hizo nchi za kiarabu. Embu ingia Google ujifunze kwanza hizo nchi ni za kikabila gani. Msiyo mnaropoka mambo hamjui.
Nchi za kiarabu ZISIZO za kiislamu, Huwa zinautambua Ukristo kwenye Kuapishwa viongozi?Nchi za kiarabu ambazo ni za kiislamu hazina sababu ya kuutambua ukristo kwenye kuapishwa kwa sababu zenyewe zimeshajiweka wazi kwamba ni za kiislamu "Islamic states". Kama Marekani nao watajiweka wazi kwamba ni "Christian State" na sio dola ya kisekyula sidhani kama kutakuwa na shida.
Mkuu nchi zipo hivi;Nchi za Uarabuni huwa zinatambua Ukristo kwenye Sherehe za Kuapishwa?
Nchi ni ya kikiristo uislam wa nn kuwa na threads za akili nduguNimeangalia sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani, Donald Trump lakini kilichonishangaza zaidi ni kuona madhehebu ya Kiislam yakitengwa katika sala ya kuliombea taifa na Rais Trump.
Madhehebu ya Kikristo na Kiyahudi yamepewa nafasi ya kutoa maombi lakini dhehebu la Kiislam halikupewa nafasi hiyo pamoja na takwimu kuonyesha Marekani ya sasa ina Waislam wengi.
Ni masikitiko sana kuona mpaka leo baadhi ya viongozi wa Marekani hawataki kukubali ukweli kuwa Marekani ya sasa ina waumini wengi sana wa madhehebu ya Kiislam.
Huu ni ubaguzi wa kidini ambayo unajenga chuki ndani na nje ya taifa la Marekani.
Ninajaribu kufikiria Waislam walioko Marekani wameguswa vipi na hili tukio ambalo kwa mtazamo wangu linatoa picha halisi kuhusu serikali ya Trump katika kushughulikia masuala ya Waislam na nchi za Kiislam.
Je, hii ni hatua ya kwanza katika kuufutilia mbali Uislam nchini Marekani?
Sasa we nimekuliza nchi gani Hiyo uliyo unadai kwamba ni yakiarabu Sio ya kislam embu nitajiye Hata moja?Nchi za kiarabu ZISIZO za kiislamu, Huwa zinautambua Ukristo kwenye Kuapishwa viongozi?
Acheni kujifanya kama hamjaelewa swali langu
Walioko marekani . katiba inasemaje katika hili ?
Nchi za Uarabuni huwa zinatambua Ukristo kwenye Sherehe za Kuapishwa?
Hivi hujui kuwa a company is a legal person separate from the owner?Huyu Trump anawadanganya wajinga kama nyinyi,wakati ana vitega uchumi katika nchi za kiarabu na kiislamu.Na anafanya nao Biashara na kuwa na hisa katika makampuni ya waarabu.
Kama hakuna ujuwe na wakristo hakuna.Saudi Arabia kuna makanisa?,tuanzie hapo kwanza
Atakuwa hana akili,upeleke ajira na uchumi unakokuchukia kisa company na wewe sio wewe.Bila wewe mwenye company kungekuwa na company.Hivi hujui kuwa a company is a legal person separate from the owner?
Ubagudhi hujiona waondo ndo bolaMbona Budha hujawasemea??
Shinto??
Confucius??
Wahindu??
Atheists??
Kwa nini waislamu pekee??